Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla ameendelea kuwashukuru waumini wa dini ya kiislamu na wazanzibari kwa ujumla kwa kuendelea kuiunga mkono Serikali ya Awamu ya Nane (8) katika kuwaletea maendeleo wananchi wote
Ameyasema hayo alipokuwa akiwasalimia Waumini wa Masjid AL- SWAFAA uliopo Kikwajuni GONGONI mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa.
Alhajj Hemed amewashukuru wananchi kwa kuwa wavumilivu katika kipindi chote cha utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo inayopita katika maeneo yao na kuwahakikishia kuwa Serikali ya Awamu ya Nane inayoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dkt. HUSSEIN ALI MWINYI imejipanga kuhakikisha inatatua changamoto zote zinazowakabili wananchi wa maeneo yote ya Zanzibar Mijini na Vijijini.
Aidha amesema kuwa kwa kuzingatia mahitaji ya wananchi wa Zanzibar Serikali imeamua kujenga miundombinu ya barabara za mijini na vijini sambamba na kuimarisha sekta ya elimu na Afya pamoja na nyenginezo kwa lengo la kuwaletea maendeleo wananchi wake bila ya ubaguzi wa aina yoyote.
Sambamba na hayo Alhajj Hemed amewataka wananchi wa Zanzibar kuendelea kuitunza tunu iliopo nchini ya Amani na Utulivu ambayo ndio chachu ya maendeleo ya Taifa pamoja na kuiweka nchi katika mikono salama siku hadi siku.
Mapema akitoa Khutba katika Sala ya Ijumaa, Maalim SULTWAN NASSOR SIMBA amewataka waumini wa dini ya Kiislam na Wazanzibari kwa ujumla kujitahidi kuchuma chumo la haalali katika mali zao jambo ambalo litapelekea kuweza kujipanga katika kufanya ibada ya Hijja kwa fedha za halali na kupata fadhila kutoka kwa Allah (S.W)
Aidha amewataka waumini kuzitumia vyema neema walizonazo ikiwemo mali zao katika kufanya amali njema na kufanya ibada kwa wingi katika miezi mitukufu ukiwemo mwezi wa ZUL-QAADA (Mfungo Pili) pamoja na kuwaombea dua wale wote ambao wanajiandaa na kwenda kufanya ibada ya hijja kwa mwaka huu wa 1445 Hijjiria.
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
30-12-2025
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
30-12-2025
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
30-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
30-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
30-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
30-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
30-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
30-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
30-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
30-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
30-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
30-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
30-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
30-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
30-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
30-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
30-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
30-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
30-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
30-12-2025