Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla ameendelea kuwashukuru waumini wa dini ya kiislamu na wazanzibari kwa ujumla kwa kuendelea kuiunga mkono Serikali ya Awamu ya Nane (8) katika kuwaletea maendeleo wananchi wote
Ameyasema hayo alipokuwa akiwasalimia Waumini wa Masjid AL- SWAFAA uliopo Kikwajuni GONGONI mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa.
Alhajj Hemed amewashukuru wananchi kwa kuwa wavumilivu katika kipindi chote cha utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo inayopita katika maeneo yao na kuwahakikishia kuwa Serikali ya Awamu ya Nane inayoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dkt. HUSSEIN ALI MWINYI imejipanga kuhakikisha inatatua changamoto zote zinazowakabili wananchi wa maeneo yote ya Zanzibar Mijini na Vijijini.
Aidha amesema kuwa kwa kuzingatia mahitaji ya wananchi wa Zanzibar Serikali imeamua kujenga miundombinu ya barabara za mijini na vijini sambamba na kuimarisha sekta ya elimu na Afya pamoja na nyenginezo kwa lengo la kuwaletea maendeleo wananchi wake bila ya ubaguzi wa aina yoyote.
Sambamba na hayo Alhajj Hemed amewataka wananchi wa Zanzibar kuendelea kuitunza tunu iliopo nchini ya Amani na Utulivu ambayo ndio chachu ya maendeleo ya Taifa pamoja na kuiweka nchi katika mikono salama siku hadi siku.
Mapema akitoa Khutba katika Sala ya Ijumaa, Maalim SULTWAN NASSOR SIMBA amewataka waumini wa dini ya Kiislam na Wazanzibari kwa ujumla kujitahidi kuchuma chumo la haalali katika mali zao jambo ambalo litapelekea kuweza kujipanga katika kufanya ibada ya Hijja kwa fedha za halali na kupata fadhila kutoka kwa Allah (S.W)
Aidha amewataka waumini kuzitumia vyema neema walizonazo ikiwemo mali zao katika kufanya amali njema na kufanya ibada kwa wingi katika miezi mitukufu ukiwemo mwezi wa ZUL-QAADA (Mfungo Pili) pamoja na kuwaombea dua wale wote ambao wanajiandaa na kwenda kufanya ibada ya hijja kwa mwaka huu wa 1445 Hijjiria.
MAFURIKO YA WANANCHI WA SIHA KWENYE MKUTANO MKUBWA WA HADHARA
29-05-2026
MAPOKEZI YA KATIBU MWENEZI WA CCM NDUGU KENANI L KIHONGOSI MKOANI KILIMANJARO
29-05-2026
🔰 𝐊𝐈𝐇𝐎𝐍𝐆𝐎𝐒𝐈 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐊𝐈𝐒𝐇𝐈𝐍𝐃𝐎 𝐊𝐈𝐋𝐈𝐌𝐀𝐍𝐉𝐀𝐑𝐎
29-05-2026
CCM INAWATAKIA HERI YA SIKUKUU YA EID AL ADHA
29-05-2026
🔰VYAMA VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA VYAIMARISHA MSHIKAMANO, DKT. DIMWA AHITIMISHA MAFUNZO MAALUM
29-05-2026
KATIBU WA NEC, ITIKADI, UENEZI NA MAFUNZO CCM TAIFA NDUGU KENANI KIHONGOSI AMNADI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ISIMANI EMMANUELA KAGANDA MTATIFIKOLO
29-05-2026
MUENDELEZO WA MAFUNZO YA VIONGOZI KATIKA SHULE YA UONGOZI YA MWALIMU JULIUS NYERERE – KIBAHA
29-05-2026
SIKU YA KWANZA YA MAFUNZO KATIKA SHULE YA UONGOZI YA MWALIMU JULIUS NYERERE LEADERSHIP SCHOOL.
29-05-2026
UFUNGUZI WA MAFUNZO YA VYAMA SITA RAFIKI VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA
29-05-2026
MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CPC, KOMREDI LIU HAIXING IKULU DAR ES SALAAM
29-05-2026
KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM
29-05-2026
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
29-05-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
29-05-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
29-05-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
29-05-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
29-05-2026
𝗞𝗜𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗢 𝗖𝗛𝗔 𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗜𝗚𝗜𝗥𝗢 𝗖𝗛𝗔𝗣𝗢𝗞𝗘𝗟𝗘𝗪𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗦𝗛𝗔𝗡𝗚𝗪𝗘 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠
29-05-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
29-05-2026
𝗩𝗜𝗝𝗔𝗡𝗔 𝗧𝗨𝗜𝗟𝗜𝗡𝗗𝗘 𝗔𝗠𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗡𝗖𝗛𝗜 𝗬𝗘𝗧𝗨 - 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗘𝗭𝗜 𝗞𝗘𝗡𝗔𝗡𝗜
29-05-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
29-05-2026