Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema Wanachama wa CCM na Wazanzibari kwa ujumla wana kila sababu ya kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt Hussen Ali Mwinyi kwa mafanikio na maendeleo makubwa aliyoiletea Zanzibar.
Ameyasema hayo katika Hafla Maalum ya Usiku wa Kumpongeza Mhe.Dkt Hussein Mwinyi kwa kutimiza Miaka minne ya mafanikio katika uongozi wake iliyofanyika katika Kiwanja cha kufurahishia watoto TIBIRINZI CHAKE CHAKE PEMBA, iliyoaandaliwa na Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar.
Amesema katika Uongozi wa Rais Dkt. Mwinyi maendeleo ya wazi yanaonekana kila kona na hakuna eneo ambalo Dkt. Mwinyi hajalifikia kimaendeleo ndani ya Visiwa vya Unguja na Pemba.
Makamu wa Pili wa Rais ambae pia ni Mjume wa Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa amewataka Wazanzibari kuendelea kumuunga mkono Rais Dkt Mwinyi pamoja na Serikali anayoiongoza ili kumpa nguvu zaidi ya kuendelea kuwatumikia Wazanzibari kwa mafanikio makubwa zaidi.
Aidha, Mhe. Hemed amesema Rais Dkt Mwinyi ni msikivu na mwenye kupenda umoja na mshikamano kwa wanachi wake hivyo Serikali anayoiongoza ipo tayari kupokea ushauri wenye tija utakaoileta Zanzibar maendeleo kwa maslahi mapana ya wananchi wote bila ya ubaguzi wa aina yoyote.
Sambamba na Hayo amesema Mwaka wa tano (5) wa uongozi wa Dkt Mwinyi utekelezaji wake wa maendeleo utakuwa wa kupigiwa mfano ambapo miradi mingi na mikubwa ya maendeleo itakatekelezwa kwa lengo la kuendelea kunyanyua uchumi wa wazanzibari.
Nae Katibu wa Idara ya Siasa, Itikadi, Uwenezi na Mafunzo ya CCM Zanzibar Komredi KHAMIS MBETO amesema Chama cha Mapinduzi kina kila sababu ya kumpongeza Rais Dkt Mwinyi kwa mema na mazuri anayoendelea kuwafanyia wananchi wa Zanzibar.
Komred MBETO amesema wana CCM na wananchi wa Zanzibar wataendelea kumuunga mkono Dkt Mwinyi kwa dhamira yake njema ya kuwaletea maendeleo Wazanzibari wote pasipo kujali rangi, kabila, dini wala jinsia zao.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
29-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
29-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
29-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
29-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
29-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
29-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
29-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
29-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
29-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
29-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
29-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
29-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
29-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
29-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
29-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
29-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
29-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
29-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
29-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
29-10-2025