Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema Wanachama wa CCM na Wazanzibari kwa ujumla wana kila sababu ya kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt Hussen Ali Mwinyi kwa mafanikio na maendeleo makubwa aliyoiletea Zanzibar.
Ameyasema hayo katika Hafla Maalum ya Usiku wa Kumpongeza Mhe.Dkt Hussein Mwinyi kwa kutimiza Miaka minne ya mafanikio katika uongozi wake iliyofanyika katika Kiwanja cha kufurahishia watoto TIBIRINZI CHAKE CHAKE PEMBA, iliyoaandaliwa na Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar.
Amesema katika Uongozi wa Rais Dkt. Mwinyi maendeleo ya wazi yanaonekana kila kona na hakuna eneo ambalo Dkt. Mwinyi hajalifikia kimaendeleo ndani ya Visiwa vya Unguja na Pemba.
Makamu wa Pili wa Rais ambae pia ni Mjume wa Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa amewataka Wazanzibari kuendelea kumuunga mkono Rais Dkt Mwinyi pamoja na Serikali anayoiongoza ili kumpa nguvu zaidi ya kuendelea kuwatumikia Wazanzibari kwa mafanikio makubwa zaidi.
Aidha, Mhe. Hemed amesema Rais Dkt Mwinyi ni msikivu na mwenye kupenda umoja na mshikamano kwa wanachi wake hivyo Serikali anayoiongoza ipo tayari kupokea ushauri wenye tija utakaoileta Zanzibar maendeleo kwa maslahi mapana ya wananchi wote bila ya ubaguzi wa aina yoyote.
Sambamba na Hayo amesema Mwaka wa tano (5) wa uongozi wa Dkt Mwinyi utekelezaji wake wa maendeleo utakuwa wa kupigiwa mfano ambapo miradi mingi na mikubwa ya maendeleo itakatekelezwa kwa lengo la kuendelea kunyanyua uchumi wa wazanzibari.
Nae Katibu wa Idara ya Siasa, Itikadi, Uwenezi na Mafunzo ya CCM Zanzibar Komredi KHAMIS MBETO amesema Chama cha Mapinduzi kina kila sababu ya kumpongeza Rais Dkt Mwinyi kwa mema na mazuri anayoendelea kuwafanyia wananchi wa Zanzibar.
Komred MBETO amesema wana CCM na wananchi wa Zanzibar wataendelea kumuunga mkono Dkt Mwinyi kwa dhamira yake njema ya kuwaletea maendeleo Wazanzibari wote pasipo kujali rangi, kabila, dini wala jinsia zao.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
29-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
29-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
29-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
29-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
29-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
29-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
29-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
29-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
29-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
29-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
29-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
29-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
29-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
29-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
29-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
29-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
29-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
29-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
29-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
29-03-2026