Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


KATIBU MKUU WA CCM AZUNGUMZA  NA WANANCHI WA KASOTA-GEITA VIJIJINI 

alternative

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na wananchi wa Kata ya Kasota, Jimbo la Geita Vijijini, leo Agosti 14, 2024, wakati alipokuwa njiani kuelekea Mkoa wa Mwanza kuanza ziara ya siku 2 mkoani humo, baada ya kumaliza ziara ya siku 3 katika Mkoa wa Geita, aliyoianza Agosti 11, 2024.

alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi