NCHIMBI: CHANGAMOTO ZA BODABODA, MACHINGA ZISHUGHULIKIWE
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Dokta EMMANUEL NCHIMBI, ameipongeza Serikali ya Mkoa wa Geita, kwa kuchukua hatua mbalimbali za kushughulikia changamoto zinazowakabili Bodaboda na Wamachinga mkoani Geita.
Changamoto hizo ni pamoja na kuwepo kwa matukio ya kutekwa kwa Bodaboda na Pikipiki zao na kutokamilika kwa ofisi za Bodaboda na Wamachinga.
Balozi Dokta NCHIMBI amesema hayo alipokua akizungumzia kero za Bodaboda ikiwemo kuwepo kwa matukio ya kutekwa kwa Bodaboda na Pikipiki zao, na pia changamoto ya kutokamilika kwa Ofisi ya Bodaboda na Machinga mkoani Geita.
Amesema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika mkoani Geita katika uwanja wa Shule ya msingi Uwanja ikiwa ni muendelezo wa ziara yake Kanda ya Ziwa.
Akijibu kero hizo Mkuu wa Mkoa wa Geita MARTINE SHIGELA amesema Serikali mkoa wa Geita, tayari imetekeleza maagizo ya Rais Dokta SAMIA SULUHU HASSAN ya kuwajengea Ofisi Machinga, ambapo tayari Rais Dokta SAMIA alitoa Shilingi Milioni 10 kwa ajili ya kuanza safari ya Ujenzi huo.
RC SHIGELA amesema tayari wamejenga na Ramani waliyopewa, waliipanua iwe kubwa zaidi, na wanatarajia mpaka tarehe 15 mwezi wa 9, kutakua na sherehe ya kuwakabidhi Ofisi Machinga na Bodaboda.
Katika hatua nyingine Katibu Mkuu Balozi Dokta NCHIMBI, ametaka Serikali mkoa wa Geita kuongeza kasi ya kuinua wachimbaji wadogo na Wafanyabiashara wadogo mkoani humo.
Amesema hayo alipokua akizungumzia kuhusu taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Geita MARTINE SHIGELA inayoonesha wachimbaji wadogo zaidi ya elimu mbili walipata Leseni.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
29-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
29-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
29-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
29-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
29-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
29-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
29-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
29-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
29-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
29-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
29-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
29-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
29-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
29-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
29-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
29-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
29-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
29-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
29-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
29-03-2026