NCHIMBI: CHANGAMOTO ZA BODABODA, MACHINGA ZISHUGHULIKIWE
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Dokta EMMANUEL NCHIMBI, ameipongeza Serikali ya Mkoa wa Geita, kwa kuchukua hatua mbalimbali za kushughulikia changamoto zinazowakabili Bodaboda na Wamachinga mkoani Geita.
Changamoto hizo ni pamoja na kuwepo kwa matukio ya kutekwa kwa Bodaboda na Pikipiki zao na kutokamilika kwa ofisi za Bodaboda na Wamachinga.
Balozi Dokta NCHIMBI amesema hayo alipokua akizungumzia kero za Bodaboda ikiwemo kuwepo kwa matukio ya kutekwa kwa Bodaboda na Pikipiki zao, na pia changamoto ya kutokamilika kwa Ofisi ya Bodaboda na Machinga mkoani Geita.
Amesema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika mkoani Geita katika uwanja wa Shule ya msingi Uwanja ikiwa ni muendelezo wa ziara yake Kanda ya Ziwa.
Akijibu kero hizo Mkuu wa Mkoa wa Geita MARTINE SHIGELA amesema Serikali mkoa wa Geita, tayari imetekeleza maagizo ya Rais Dokta SAMIA SULUHU HASSAN ya kuwajengea Ofisi Machinga, ambapo tayari Rais Dokta SAMIA alitoa Shilingi Milioni 10 kwa ajili ya kuanza safari ya Ujenzi huo.
RC SHIGELA amesema tayari wamejenga na Ramani waliyopewa, waliipanua iwe kubwa zaidi, na wanatarajia mpaka tarehe 15 mwezi wa 9, kutakua na sherehe ya kuwakabidhi Ofisi Machinga na Bodaboda.
Katika hatua nyingine Katibu Mkuu Balozi Dokta NCHIMBI, ametaka Serikali mkoa wa Geita kuongeza kasi ya kuinua wachimbaji wadogo na Wafanyabiashara wadogo mkoani humo.
Amesema hayo alipokua akizungumzia kuhusu taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Geita MARTINE SHIGELA inayoonesha wachimbaji wadogo zaidi ya elimu mbili walipata Leseni.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025