Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


CCM ILIJIPANGA, TULIWEKA MAWAKALA NCHI NZIMA - CPA MAKALLA.

alternative

Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu CPA Amos Makalla na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es salaam akipokea taarifa ya uandishwaji wa Wananchi kwenye daftari la Mkazi amesema Chama cha Mapinduzi kimekuwa mstari wa mbele kupata taarifa kutokana na kujipanga tofauti na wengine kwanza suala la kuweka mawakala kila eneo kwenye Nchi hii imefanya Chama kifahamu ukubwa wake na kutoa somo kwa wengine.

"Msingi uliofanya CCM uendelee kufatilia Vizuri zoezi hili ni kuweka mawakala kila maeneo wenzetu hawakuwa na na mawakala kila maeneo"

alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi