π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ¦ππ¦ππ§πππ π ππππππ π ππ¨ππ‘πππππ ππ¨π§π’π ππππ
πΌπ¨ππ’π πππ§ππ ππ‘π π πͺππ£πππ‘ππ π πͺπ©π€π πͺπ¨πππ§ππ πππ£π€ π’π―πͺπ§π π π¬π π’πͺπππ’ππ‘π ππͺπ€.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza Mahakama ya Tanzania kuendelea kusimamia haki nchini huku akiahidi kwamba serikali yake anayoiongoza itaendelea kutoa ushirikiano wake kwa muhimili huo.
Rais Dkt. Samia amebainisha hayo wakati akimuapisha Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Mhe. George Mcheche Masaju, ambaye ameapishwa kuwa Jaji wa saba Mzawa wa Mahakama ya Tanzania, akichukua nafasi ya Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma ambaye amestaafu utumishi wake.
Katika maelezo yake kwa Jaji Mkuu Mhe. Masaju, Rais Dkt. Samia amesisitiza umuhimu wa kuendelezwa mazuri ya Mahakama hiyo, kuendeleza utekelezaji wa mapendekezo ya Tume ya haki jinai sambamba na kuendelea kusimamia haki ndani ya nchi na haki za Tanzania nje ya nchi.
Katika baadhi ya nukuu ya hotuba yake, Rais Dkt. Samia ametoa pongezi kwa Jaji mstaafu na Jaji mpya.
"Pongezi zangu ni kwa Jaji Mkuu mstaafu kwa kukamilisha kazi hii bila ya makandokando lakini pia kwa Jaji Mkuu mpya nikupongeze lakini pia nikupe pole kwasababu mzigo huu sio mdogo."
"Una kazi ya kufanya, nakutakia kila la kheri, Mungu akupe busara na hekima uweze kuifanya kazi hii vyema."
ποΈ15 Juni 2025
#OktobaTunatiki
#KaziNaUtuTunasongaMbele
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
02-04-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
02-04-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
02-04-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
02-04-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
02-04-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
02-04-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
02-04-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
02-04-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
02-04-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
02-04-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
02-04-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
02-04-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
02-04-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
02-04-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
02-04-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
02-04-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
02-04-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
02-04-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
02-04-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
02-04-2026