Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


 GEITA MJINI IMEITIKA! MKUTANO WA KATIBU MKUU WA CCM.

alternative

 Mkutano wa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi katika uwanja wa Shule ya Msingi Uwanja Geita Mjini  ambapo amezungumza  na Wanachama wa  chama hicho  na Wananchi wa Mkoa wa Geita leo tarehe 13 Agosti 2024.
  Katika mkutano huo katibu Mkuu aliambatana na Manaibu waziri watatu kutoka wizara za Tamisemi, Mambo ya Ndani ya Nchi pamoja na Ujenzi.

alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi