FEDHA SH 510 MILIONI ZAPATIKANA UJENZI UZIO SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA RUVU
•Rais Dr Samia achangia milioni 100
Rais Dk Samia Suluhu Hassan amechangia kiasi cha Sh milioni 100 kwa ajili ya ujenzi wa uzio wa shule ya Sekondari ya Wasichana ya Ruvu iliyopo Kibaha mkoani Pwani, lengo likiwa ni kuimarisha usalama wa wanafunzi hao wawapo shuleni.
Harambee kwa ajili ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo ilifanyike Juni 14,2025 katika Ukumbi wa Mikutano wa hoteli ya Golden Tulip Dar es salaam na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alikuwa muwakilishi wa Rais Samia katika hilo.
Katika harambee hiyo ilifanikiwa kukusanywa kiasi cha Sh milioni 510 kwa ajili kujenga uzio
Wakati akizungumza Mheshimiwa Majaliwa amesema kuwa Rais Dkt. Samia anaunga mkono uamuzi huo wenye nia ya kuwafanya wanafunzi wa kike katika shule hiyo kusoma katika mazingira salama.
Sambamba na hilo Mheshimiwa Majaliwa ametoa mwito kwa halmashauri nchini kuendelea kutenga fedha kutoka kwenye mapato ya ndani kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa shule katika maeneo hayo badala ya kusubiri serikali kuu pekee.
Kwa Upande wake Mwenyekiti wa Ujenzi, CPA Amos Makala amesema lengo la kukusanya fedha hizo ni kuhakikisha wanajenga uzio huo ili kuwapa usalama watoto wa kike wanaosoma katika shule hiyo.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
19-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
19-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
19-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
19-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
19-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
19-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
19-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
19-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
19-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
19-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
19-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
19-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
19-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
19-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
19-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
19-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
19-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
19-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
19-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
19-03-2026