NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa, ametembelea vituo 31 vya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kwahani Wilaya Mjini, Mkoa Mjini Magharibi Kisiwani Unguja unaofanyika leo Juni 8, 2024.
Akizungumza katika vituo tofauti alisema ameridhishwa na mwenendo wa uchaguzi huo unaofanyika katika hali ya amani na utulivu.
Dkt.Dimwa, amesema wananchi wamepata fursa ya kufika katika vituo mbali mbali vya upigaji wa kura na kutekeleza haki yao ya kidemokrasia ya kumchagua mgombea mwenye sifa wanazoona anafaa kuwa Mbunge wa Jimbo hilo.
“Nimetembelea vituo vyote na kuona namna wananchi mbalimbali walivyojitokeza kwa wingi kupiga kura katika vituo vyao, tunatarajia hali hii ya utulivu itaendelea mpaka kumalizika kwa zoezi hili la uchaguzi.”, amefafanua Dkt.Dimwa.
Katika maelezo yake Dkt.Dimwa, alifafanua kuwa matarajio ya CCM ni kupata ushindi mkubwa kupitia mgombea wake Khamis Yussuf Mussa (Pele) na kwamba Chama hicho kimetekeleza vizuri ilani yake ndani ya Jimbo hilo.
Uchaguzi huo unafanyika baada ya kufariki dunia kutokana na maradhi ya shinikizo la damu kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Ahmada Yahya Abdulwakil mnamo April 8, 2024.
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
03-02-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
03-02-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
03-02-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
03-02-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
03-02-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
03-02-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
03-02-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
03-02-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
03-02-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
03-02-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
03-02-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
03-02-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
03-02-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
03-02-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
03-02-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
03-02-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
03-02-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
03-02-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
03-02-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
03-02-2026