CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar champongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa azma yake ya kuifungua Pemba kiuchumi
CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar kimempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa azma yake ya kuifungua kiuchumi kisiwa cha Pemba.
Kauli hiyo ameitoa Katibu wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Idara ya Itikadi na Uenezi,Zanzibar Khamis Mbeto Khamis kwenye mkutano wa Rais Dk.Mwinyi ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar alipokuwa akizungumza na wajumbe wa Halmashauri kuu za Majimbo,wilaya na mkoa wa Kusini Pemba.
Alisema serikali ya awamu ya nane inatarajia kujenga uwanja wa kisasa wa ndege wa Pemba wenye urefu wa mita 2500 katika njia ya kurukia ndege. Katibu huyo alisema mbali na hilo serikali inayoongozwa na Rais Dk.Mwinyi tayari imeshafikisha huduma za umeme kwenye vijiji 65 ambapo kati ya vijiji hivyo vijiji 22 ni kutoka kisiwa cha Pemba. Alisema bajeti ijayo ya serikali itakwenda kukamilisha vijiji vingine vilivyobakia katika kufikisha huduma za umeme."Mheshimiwa Rais katika huduma za maji safi na salama takribani shehia 470 kwa Unguja na Pemba zimefikiwa na huduma hiyo muhimu,"alisema
Kwa upande wake Mkuu wa mkoa wa Kusini Pemba Matar Zahor alisema eneo la sekta ya elimu serikali inayoongozwa na Rais Dk.Mwinyi katika kipindi hiki imetengeneza madarasa 158 kwenye mkoa wake ambayopo ndani yake kuna shule tatu za ghorofa na tayari zimekwishaanza kutumika. "Lakini pia mchakato unaendelea ya kuyajenga madarasa mengine kazi imeanza shule ya Ole,Michakaini na tunatarajia kupata shule ya ghorofa kwenye eneo la kengeja na Wesha,"alisema
Alisema kwa upande wa ajira mkoa wa kusini Pemba imepata ajira mpya 981 za walimu na kwamba bado kuna ajira 500 ambazo zinatarajiwa kupatikana kupitia eneo hilo la sekta ya elimu baada ya kukamilika kwa mchakato wa kuajiri.
"Katika eneo la miundombinu ya barabara mkoa wetu tunaendelea vizuri tumekamilisha hivi karibuni barabara ya Kijangwani Birikau yenye urefu wa kilomita 4.2 kwa kiwango cha lami na barabara ya Kipapo Mgelema yenye urefu wa kilomita 6.4 imeanza kuwekwa lami,"alisema
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
03-01-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
03-01-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
03-01-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
03-01-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
03-01-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
03-01-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
03-01-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
03-01-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
03-01-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
03-01-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
03-01-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
03-01-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
03-01-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
03-01-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
03-01-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
03-01-2026
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
03-01-2026
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
03-01-2026
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
03-01-2026
TAARIFA KWA UMMA
03-01-2026