CCM TUNA JUKUMU LA KUHAKIKISHA KAZI ZA RAIS ZINAJULIKANA NA WANAOKWAMISHA WANACHUKULIWA HATUA - MWENEZI MAKONDA
Apokelewa Wilayani Rorya Mkoani Mara
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda amesema Chama Cha Mapinduzi kina jukumu la kuhakikisha kazi za Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, zinajulikana kila kona ya Nchi, Kuwashughulikia wanaokwamisha jitiahada za Serikali na kuwapa Imani Watanzania kuendelea kukiamini Chama.
Mwenezi Makonda amesema katika mkoa mmojawapo ambao wakisema wapo pamoja na wewe basi wanamaanisha ni pamoja na mkoa wa Mara ambapo ameeleza hata kipindi akigombea nafasi ya Uongozi watu wa Mara walimuhakikishia kumuunga mkono na hawakuyumba katika hilo.
Pia, Mwenezi Makonda amesema "Watoa taarifa ni kuwakimbia sababu kila siku wana matatizo, hawana sera wala mipango maana yake hawana dira, mfano sisi CCM sera yetu ya Elimu ni kutoa Elimu bure sasa waulizeni wao sera yao ya Elimu ni ipi? Wakisema kuna mchango shule fulani basi Sisi tunatuma watu watafuatilia na tutatatua changamoto hiyo kwahiyo ni Watoa taarifa tuu ambapo wakati mwingine si za kweli hivyo msiwaamini"
Aidha, Wananchi wa Rorya wamemzawadia Mwenezi Makonda zawadi ya Ngo'mbe.
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
21-01-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
21-01-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
21-01-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
21-01-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
21-01-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
21-01-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
21-01-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
21-01-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
21-01-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
21-01-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
21-01-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
21-01-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
21-01-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
21-01-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
21-01-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
21-01-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
21-01-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
21-01-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
21-01-2026
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
21-01-2026