Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara Ndg. John V. K. Mongella kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Tume ya Nidhamu na Maadili ya Chama cha Kikomunisti Cha China (CCDI) na Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Usimamizi (NCS) ya Serikali ya Watu wa China Ndugu Wang Hongjin.
Aidha katika mazungumzo hayo Mongela aliipongeza Serikali ya Jamhuri ya China kwa kuendelea kushirikiana vizuri na Serikali ya Tanzania katika kuleta maendeleo kwenye nyanja mbalimbali za kiuchumi kwenye Nchi yetu.
Kwa Upande wake Mjumbe wa Kamati ya kudumu ta Tume ya Nidhamu na Maadili ya Chama cha Kikomunisti cha China (CCDI) na Kamishna wa (NCS) Ndg.Wang Hongjin ameishukuru Serikali ya Tanzania na Chama cha Mapinduzi CCM kwa Ushirikiano mzuri wanaounyesha kwenye suala la uwekezaji na kutoa fursa mbalimbali kwa watu China kwenye nyanja mbalimbali za maendeleo.
Naibu katibu Mkuu Bara amefanya mazungumzo hayo leo tarehe 07.06.2024 kwenye Ofisi Ndogo za CCM Lumbumba Jijini Dar es Salaam.
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
14-02-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
14-02-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
14-02-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
14-02-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
14-02-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
14-02-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
14-02-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
14-02-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
14-02-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
14-02-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
14-02-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
14-02-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
14-02-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
14-02-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
14-02-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
14-02-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
14-02-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
14-02-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
14-02-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
14-02-2026