Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Hemed Suleiman Abdulla amesema kuna kila sababu ya Jimbo la Mtambwe kubaki katika Ngome ya Chama cha Mapinduzi katika ngazi zote za Uongozi ifikapo Uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Hemed Suleiman Abdulla amesema kuna kila sababu ya Jimbo la Mtambwe kubaki katika Ngome ya Chama cha Mapinduzi katika ngazi zote za Uongozi ifikapo Uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Akizungumza na wana CCM na wananchi wa Jimbo la Mtambwe huko katika viwanja vya kisiwani Mhe. Hemed amesema Chama kinahitaji kuimarishwa na kusimamiwa vizuri katika Jimbo hilo kwa kuongeza nguvu za kuwashawishi wananchi wa Mtambwe ili waweze kuendelea kujiunga kwa wingi na CCM.
Ameeleza kuwa Chama Cha Mapinduzi kina dhima kwa wazanzibari kuwatumukia kupitia ahadi walizoweka kama maelekezo ya Ilani ya Uchaguzi inavyoeleza ambapo SMZ chini ya Rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi itatatua changamoto zote zinazowakabili wazanzibari.
Amewataka Viongozi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba kuendelea kutangaza mazuri yanayofanywa na Chama cha Mapinduzi na kuachana na siasa za chuki na uhasama badala yake washirikiane katika kuinadi Ilani ya Chama Cha Mapinduzi na kuitekeleza kwa vitendo jambo ambalo litatoa wigo mkubwa kwa wananchi wa mtambwe hususan wapinzani wavutiwe na hatimae kujiunga na CCM.
Amewataka Viongozi kuwa na uzalendo wa Nchi yao kwa kuipigania na kuitetea Nchi yao sambamba na kujipanga katika kushinda kwa kishindo katika Jimbo laTambwe na Majimbo yotess ya Zanzibar.
Amesema ili kuleta mabadiliko majimboni ni lazima Viongozi kuwa wabunifu katika kuunda miradi mbali mbali ya maendeleo ambayo itawapatia vijana kujiajiri na kuwaweka pamoja katika kukiimarisha chama.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kaskazini Pemba Ndg Mberwa Hamad Mberwa ameeleza Mjumbe huyo wa Kamati Kuu kuwa Kamati ya Siasa Mkoa na Wilaya zitahakikisha zinasimamia maelekezo aliyoyatoa na kuyafanyia kazi kwa ngazi zote kuanzia Mkoa hadi Shina
Amemuhakikishia kuwa Mkoa wa Kaskazini Pemba utakuwa ni wa mfano kwa kura nyingi za CCM ukifika Uchaguzi wa Dola wa mwaka 2025 kutokana na utekelezaji mzuri wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM katika Majimbo yote ya Mkoa huo.
Muwakilishi wa Jimbo la Micheweni na Waziri wa Kilimo Maliasili na Mifugo Mhe. Shamata Shaame Khamis ameeleza kuwa Serikali imejenga masoko kila Mkoa ili kurahisisha uuzaji wa biashara zinazotoka mashambani kwa ubora na kwa bei za uhalisia. ss
Nae Mkuu wa Mkoa wa Kaskazi Pemba Salama Mbarouk Khatib amempongeza Mhe.Hemed kwa uamuzi wake wa kufanya ziara ya kukiimarisha chama ambapo wanaamini matunda ya ziara hiyo yataonekana kwani mabadiliko makubwa yenye tija yatatapatikana ndani ya chama cha Mapinduzi na Serikali kwa ujumla.
Ameeleza kuwa wataendelea kufanya ziara mara kwa mara ili kuhakikisha CCM inajengeka na kuendelea kuwa imara na kuingiza wanachama wengi watakaokuja kukipatia Chama hicho ushindi ifikapo mwaka 2025
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025