Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


RAIS SAMIA  AZINDUA RASMI SAFARI ZA TRENI YA KISASA (SGR) DAR - DODOMA.

alternative

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi safari za Treni ya Kisasa (SGR) kutoka Dar Es Salaam - Dodoma, leo Agosti 1,2024 katika Stesheni ya SGR jijini Dar Es Salaam.

 

Uzinduzi huo ukishuhudiwa na Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali pia wakiwemo wasanii na wananchi lukuki.

alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi