RAIS SAMIA AZINDUA RASMI SAFARI ZA TRENI YA KISASA (SGR) DAR - DODOMA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi safari za Treni ya Kisasa (SGR) kutoka Dar Es Salaam - Dodoma, leo Agosti 1,2024 katika Stesheni ya SGR jijini Dar Es Salaam.
Uzinduzi huo ukishuhudiwa na Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali pia wakiwemo wasanii na wananchi lukuki.