ANAYESEMA SERIKALI YA CCM HAIJAFANYA KAZI HUWENDA MTU HUYO ANA TATIZO LA KISAIKOLOJIA - DKT. NCHIMBI
" Tunao watu katika jamii ambao hao wasiposingizia au kusema uongo wanakosa usingizi, lazima watu kama hao tuwashauri na kuna wakati inabidi watu kama hao kupewa ushauri wa daktari wa kisaikolojia...unakuta mtu anasema tuu CCM haijafanya kazi yoyote unagundua huyu ana tatizo la kisaikolojia "
Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi wakati akizungumza kwenye Mkutano wa hadhara Wilayani Mpanda.
Pia, Balozi Dkt. Nchimbi amehimiza na kusisitza kujenga chama katika misingi ya haki na uswa.
" Hatupendi CCM kuwa kama vyama vya hao wengine ambao kazi yao ni kutukana watu tu, niwaombe wana CCM msiruhusu watu hao wakawachonganisha lazima muoneshe ukomavu kwa vitendo na mjibu kwa hoja wala msitukanane nao na hatuna sababu ya kuwa na vigugumizi ."
Aidha, Katibu Mkuu Dkt. Nchimbi amesistiza kuendelea kuunga mkono serikali ya CCM inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwakuwa inatanguliza maslahi ya Taifa kwa ujumla.
Sambamba na hilo,katika kuendelea kuweka misingi imara ya kulinda Taifa letu la Tanzania, Katibu Mkuu wa CCM Ndugu. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewataka Watanzania wote pasipo kujali itikadi ya vyama vyao, kabila wala dini.
"Amani na utulivu sio zawadi iliyoanguka bali ni jambo lililofanyiwa kazi kuanzia Hayati Baba wa Taifa Rais Mwl. Nyerere hadi leo hii kwa Rais Dkt. Samia alipofikia, Marais wote katika hili wametimiza kiapo chao."
"Niwahikishie kwa uongoz wa Rais Dkt. Samia nchi yetu itaendelea kuwa na amani na nawaomba tuunge mkono amani na utulivu huu kuepukana na kuwasapoti baadhi wanaotaka kuhatarisha amani hii, nyinyi baadhi mnaishi mipakani na mnajua nchi bila amani inavyokuwa"
Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi
Katibu Mkuu wa CCM
ποΈ 13 Aprili, 2024
π Mpanda - Katavi
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
19-01-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
19-01-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
19-01-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
19-01-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
19-01-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
19-01-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
19-01-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
19-01-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
19-01-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
19-01-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
19-01-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
19-01-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
19-01-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
19-01-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
19-01-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
19-01-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
19-01-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
19-01-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
19-01-2026
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
19-01-2026