RAIS SAMIA AMETOA FEDHA KUJENGA BARABARA SAME - KISIWANI - MKOMAZI
SAME MASHARIKI: SERIKALI imetoa jumla ya kiasi cha Sh bilioni 59 kwa ajili ya kutekeleza ujenzi wa barabara kutoka Same. -Kisiwani- Mkomazi yenye urefu wa kilometa 35.
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla ameeleza hayo leo Juni 11, wakatika kuzungumza na wananchi kwenye mkutano uliofanyika katika Kata ya Ndungu Jimbo la Same Mashariki wilayani Same mkoani Kilimanjaro.
Makallaameeleza hayo akigusua taarifa ya Mbunge wa Jimbo la Same Mashariki, Anna Kilango Malecela iliyoainisha miradi ya mendeleo iliyotekelezwa katika jimbo hilo katika maeneo mbalimbali na ujenzibwa barabara hiyo ni sehemu ya miradi iliyopo katika utekelezaji.
“Changamoto ya barabara ya Same-Kisiwani moaka Mkomazi ambayo tulipokuja mwaka 2005 na haikutekelezwa ndani ya uongozi Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Sh bilioni 59 kilometa 35 inajengwa,” amesema Makalla.
Ameongeza kuwa ni kilometa 100 zinazohitajika kujengwa lakini zinajengwa kwa awamu na barabara hiyo imepigiwa kelele kwa miaka mingi ameipigia kelele ndani ya uongozi wa Rais Samia amemsikiia na kutoa fedha ujenzi umeanza
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
13-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
13-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
13-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
13-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
13-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
13-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
13-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
13-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
13-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
13-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
13-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
13-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
13-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
13-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
13-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
13-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
13-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
13-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
13-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
13-03-2026