KIONGOZI Mkuu wa Matembezi ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar Machano Ali Machano ,amewasihi Maafisa Usafirishaji(bodaboda) wa Mkoa wa Kaskazini Pemba kuwa makini wakati wa utekelezaji wa majukumu yao ili kupunguza ajali.
Hayo ameyasema wakati akizungumza na kusikiliza changamoto za bodaboda katika Matembezi hayo Pemba.
Machano,alisema umakini ndio nyenzo pekee ya kuwawezesha kufanya kazi zao kwa ufanisi kwa ufanisi.
Alisema kuwa UVCCM ina dhamana kubwa ya kuyasemea makundi mbalimbali ya vijana ili changamoto zao zitafutiwe ufumbuzi na taasisi husika.
Katika mKEEaelezo yake,Mkuu huyo wa Matembezi alisema Serikali ya awamu ya nane chini ya Uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Mwinyi,inaendelea kutoa fursa za mikopo yenye masharti nafuu hivyo kundi hilo wafuate utaratibu na UVCCM itawasemea kuhakikisha wananufaika na mikopo hiyo.
“Matembezi ya kuadhimisha miaka 60 ya Mapinduzi ni jukwaa la kutuunganisha vijana wa makundi mbalimbali kukaa pamoja na kujadiliana kwa kina mafanikio na changamoto mbalimbali zinazotukabili ili kupata namna bora ya kuzitatua
”UVCCM tutaendelea kuwasemea mema pamoja na kuhakikisha asilimia za fedha zinazotengwa na Serikali kwa ajili ya uwezeshaji wa kundi la vijana kutoka Mabaraza ya Manispaa na Halmashauri zinawanufaisha nyinyi katika kupata mitaji na kujikwamua kiuchumi,alisema Machano.
Machano, ambaye pia ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki amelitaka kundi hilo la Maafisa usafirishaji kujiepusha na vitendo vya matumizi ya dawa za kulevya,udhalilishaji wa kijinsia na ukabaji badala yake waendelee kuwa waaminifu katika utekelezaji wa majukumu yao.
Naye Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohamed Ali Kawaida,alisema aliwapongeza Maafisa usafirishaji hao kwa kazi kubwa wanayofanya ya kutoa huduma za usafiri kwa wananchi wa makundi mbalimbali.
Kupitia kikao hicho Mkuu huyo wa Matembezi Machano Ali na Mwenyekiti wa UVCCM taifa Mohamed Kawaida pamoja na Viongozi mbalimbali wa UVCCM wa Mkoa wa Kaskazini Pemba,waligawa mavazi maalum ya kuwasadia kutambulika kwa urahisi wakati wa utendaji wa kazi zao hasa usiku(Reflectors)kwa Maafisa wote wa Usafirishaji.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
07-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
07-11-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
07-11-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
07-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
07-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
07-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
07-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
07-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
07-11-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
07-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
07-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
07-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
07-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
07-11-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
07-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
07-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
07-11-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
07-11-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
07-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
07-11-2025