Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AFUNGUA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA UWT NA MADIWANI WANAWAKE UNGUJA-ZANZIBAR

alternative

Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mhe. Hemedi Suleiman Abdullah  Leo tarehe 11 Mei, 2024 amefungua Mafunzo  kwa viongozi wa UWT na Madiwani Wanawake Unguja Zanzibar  yaliyofanyika  katika  ukumbi wa Nyamazi, Dimani Zanzibar

Mafunzo hayo yametolewa kwa makatibu wa UWT ngazi ya Wadi,Majimbo pamoja na Madiwani Wanawake wa Kuteuliwa Unguja- Zanzibar.

Viongozi Mbalimbali wakiongozwa  na Mwenyekiti  wa UWT Taifa Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC), Makamu wa Mwenyekiti wa UWT Ndg. Zainab Khamis Shomari (MNEC), Mwenyekiti  wa CCM Mkoa wa Magharib Ndg. Mohamed Rajab, Wajumbe wa Halmashauri Kuu Ya CCM Taifa kutoka UWT, Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Mgeni Hassan Naibu Katibu Mkuu wa UWT-Zanzibar Ndg. Tunu Kondo Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji la Baraza Kuu la UWT, pamoja na Baadhi Wajumbe baraza kuu la UWT Wamehudhuria Mafunzo hayo.

📍 Unguja, Zanzibar
🗓️ 11 Mei, 2024

alternative alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi