MAKALLA: CCM INAJIVUNIA KAZI ZILIZOFANYWA NA DR SAMIA. SULUHU
VUNJO: Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema utekelezaji wa Ilani na maendeleo yaliyofanywa na Serikali ya CCM chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan ni turufu kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Akizungumza na wananchi katika eneo la Himo Wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro leo Juni 10, akiwa katika ziara ya yake ya kujenga chama Makalla alieleza hayo akisisitiza Rais Samia amepeleka maendeleo kwa wingi na kuwafanya kutotumia nguvu kuyaeleza pale muda utakapofika.
Makalla amesema CCM inamuona Rais Samia ni karata muhimu sana katika uchaguzi huo kwani kwa kazi alizozifanya anaingia katika historia kuwa kiongozi aliyoongoza kwa kupeleka fedha za maendeleo zinazoacha alama ambazo zitakipa nguvu chama chao hapo baadaye.
Amesema Rais Samia ametekeleza mambo mengi kwa kugusa sekta tofauti ikiwemo maji, umeme, elimu, afya, miundombinu ya barabara na mengineyo aambayo yamefilisi ajenda za wapinzani.
Makalla amepongeza taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Dk Charles Kimei kwani ameenda kata kwa kata na kueleza hali halisi ya miradi na kuainisha kwa uwazi pale palipokuwa na changamoto.
Amesema baada ya kueleza mafanikio CCM ina wajibu wa kutatua changamoto na kukiri kupokea changamoto ya fidia kwa wananchi waliopisha ujenzi wa kituo katika eneo la Gona na kuahidi kulifikisha kwa Waziri wa Ujenzi, Abdallad Ulega kwa ajili ya kufanya tathmini ili waweze kupata stahiki zao.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
17-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
17-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
17-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
17-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
17-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
17-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
17-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
17-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
17-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
17-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
17-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
17-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
17-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
17-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
17-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
17-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
17-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
17-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
17-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
17-03-2026