MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndugu Mohamed Ali Kawaida, amewataka Vijana waliopewa dhamana za kiutendaji ndani Chama na Serikali kufanya kazi kwa bidii ili kwenda sambamba na kasi ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/2025.
Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na Viongozi,Watendaji na Wanachama wa UVCCM Mkoa wa Magharibi katika mwendelezo wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa Jumuiya hiyo huko Afisi kwao Mwera Unguja.
Alisema kuwa Vijana,wanatakiwa kuwa mfano bora katika masuala mbalimbali ya kujenga Taifa kimaendeleo.
Alisema lengo la ziara hiyo ni kuimarisha uhai wa Chama na Jumuiya hiyo, kukagua Utekelezaji wa Ilani ya CCM ya Mwaka 2020/2025 na kuhakikisha changamoto zinazowakabili Vijana zinafutiwa ufumbuzi wa kudumu.
" Vingozi wetu Wakuu ambao ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi wametuamini Vijana na kutupatia dhamana mbalimbali hivyo nasi tunatakiwa kuonyesha uwezo wetu kwa vitendo. ",alisema Mwenyekiti huyo Mohamed Kawaida.
Alisema Serikali Kwa Sasa imejielekeza katika kufanya Mapinduzi ya kimaendeleo, kwa kufungua milango ya uwekezaji hasa katika miradi mikubwa ya kimkakati pamoja na Viwanda vitakavyotoa ajira za kudumu kwa Vijana na Wananchi kwa ujumla.
Katika maelezo yake Mwenyekiti huyo Mohamed, alisema pamoja na juhudi hizo za kuleta maendeleo endelevu nchini bado Kuna makundi ya wanasiasa wasiokuwa wazalendo wanaendelea kubeza na kutoa kauli za kuwachonganisha Wananchi na Serikali zao.
Kupitia Kikao hicho Mohamed Kawaida, aliwapongeza Vijana wa Mkoa huo kwa kazi kubwa wanayofanya ya kuimarisha Jumuiya na Chama kwa ujumla.
Katika ziara hiyo Mwenyekiti huyo amefuatana na Viongozi wa Kamati tekelezaji ya UVCCM Taifa, Wabunge, Wawakilishi na Wajumbe wa NEC wanaotoka katika Umoja huo.
Mohamed Kawaida ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa, katika Mkoa huo amekagua Hospitali ya Wilaya ya Magharib 'B', Kukagua Kituo cha Ujasiriamali na UVCCM, kushiriki ujenzi wa Tawi la CCM Tomondo Uzi, kushiriki ujenzi wa Tawi la CCM Bilikani na kuzindua kundi la hamasa la Vijana Fuoni.
Maeneo mengine ni kukagua mradi wa ujenzi wa Kituo cha Polisi Wadi ya Kipungani, maendeleo ya ujenzi wa Soko la Jumbi, kukagua Kituo cha Ujasiriamali Bweleo, kuweka jiwe la msingi katika Maskani ya Maungani, kuongea na Vijana wanaoendesha mradi wa kukusanya takataka pamo
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
28-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
28-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
28-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
28-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
28-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
28-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
28-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
28-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
28-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
28-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
28-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
28-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
28-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
28-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
28-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
28-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
28-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
28-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
28-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
28-10-2025