Wasira: ACT, CHADEMA wasitafute mchawi viongozi wao kuzuiwa Angola
KUTOKANA na hatua ya kuzuiwa kwa baadhi ya viongozi wa upinzani wa Tanzania kuingia nchini Angola, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amewataka viongozi hao wasiinyooshee kidole serikali.
Wasira alitoa kauli hiyo jana, siku moja baada ya Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Othman Masoud ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar na Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kuzuiliwa na mamlaka za Angola kuingia nchini humo juzi.
Makamu Mwenyekiti Wasira alieleza hayo alipokuwa akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM katika ukumbi wa Kanisani, Vwawa wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe ambako anaendelea na ziara ya kikazi.
"Leo nimesoma viongozi walikuwa wanaenda Angola lakini wamenyang'anywa paspoti huko ni Angola sio hapa, hapa hatuja wanyang'anya paspoti na hata ikimaliza muda wake tunawapa, ili waende wanakotaka halafu warudi salama," nakuongeza
"Wamelalamika kwa nini serikali imekaa kimya kwani sisi tunasimamia Airpoti ya Angola? Airpoti ya Angola inasimamiwa na watu wa Angola, na pia huenda walikuwa na jambo lao ambalo lilitiliwa shaka. Wangeuawa tungesema kwa nini wamewaonea watu wasiokuwa na hatia," alisema.
Aliongeza kuwa "Sasa kuwaambia tu msiingie kuna tatizo gani simrudi tu nyumbani,"
Mbali na Othman na Lissu wengine waliozuiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Quatro de Fevereiro jijini Luanda viongozi wengine marais wastaafu kutoka Botswana na Colombia, Waziri Mkuu Mstaafu wa Lesotho, na baadhi ya wakuu wa vyama vya siasa kutoka baadhi ya za Afrika.
Viongozi hao, walikwenda Angola kushiriki mazungumzo ya Jukwaa la Demokrasia Afrika (PAD) yaliyoandaliwa na Taasisi ya The Brenthurst Foundation yakiwa na lengo la kuwakutanisha baadhi ya wadau kutoka Afrika kwa madai ya kujadili demokrasia na kubadilishana uzoefu.
Baada ya kuzuiliwa viongozi, ACT-Wazalendo ilitoa taarifa ya kushangazwa na ukimya wa serikali kushindwa kutoa kauli na kutaka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ifafanue na kutoa msimamo wa serikali kuhusu suala hilo.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
17-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
17-11-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
17-11-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
17-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
17-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
17-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
17-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
17-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
17-11-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
17-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
17-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
17-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
17-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
17-11-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
17-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
17-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
17-11-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
17-11-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
17-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
17-11-2025