NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,amewataka Makatibu wa Wilaya,Mikoa,Wabunge na Wawakilishi nchini kufanya ziara za mara kwa mara za kusikiliza na kuratibu changamoto zinazowakabili wananchi.
Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na Wanachama wa CCM Jimbo la Pangawe Unguja,alisema Viongozi hao wana wajibu wa kusikiliza wananchi changamoto zao zitafutiwe ufumbuzi wa kudumu na mamlaka husika.
Dkt.Dimwa,alisema Wananchi wengi wanakabiliwa na changamoto zinazoweza kutafutiwa ufumbuzi kwa ngazi za Wilaya lakini zinashwa kufanyiwa kazi kutokana na uwepo wa urasimu kwa baadhi ya Watendaji.
"Chama Cha Mapinduzi ndio kimbilio la Wananchi kwani sisi tuna wajibu wa kuwasemea Wananchi ambao wengi wao sauti zao hazifiki sehemu husika lakini sisi tunafika hivyo tutekeleze wajibu wetu kikamilifu."alisema Dkt.Dimwa.
Alisema Chama Cha Mapinduzi ni daraja baina ya Serikali na Wananchi katika kutafsiri kwa vitendo dhana ya maendeleo endelevu katika nyanja za kiuchumi,kijamii na kisiasa.
Katika maelezo yake Naibu Katibu Mkuu hiyo Dkt.Dimwa,alieza kuwa ufanisi wa kiutendaji wa Serikali na Chama utaendelea kuimarika endapo Viongozi na watendaji watakuwa karibu na Wananchi.
Pamoja na hayo alisisitiza kufanyika kwa Vikao vya ngazi za Matawi na Mashina ili kujadili masuala ya msingi yanayowahusu Wanachama wa CCM kwa lengo la kuziwasilisha ngazi husika kwa ajili ya kufanyiwa maamuzi.
Kupitia Mkutano huo,alitaka kuimarishwa kwa mikakati ya kuongeza Wanachama wapya ambao ni mtaji wa kisiasa wa CCM hasa wakati huu wa kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2025.
Pamoja na hayo alisema msimamo wa CCM nikutekeleza kwa vitendo ibara ya 5 ya Katiba ya CCM ya mwaka 1977 toleo la Disemba 2022 inayoelekeza Chama kushinda Uchaguzi Mkuu na Serikali za Mitaa kwa Tanzania bara na Zanzibar.
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
04-01-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
04-01-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
04-01-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
04-01-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
04-01-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
04-01-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
04-01-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
04-01-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
04-01-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
04-01-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
04-01-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
04-01-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
04-01-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
04-01-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
04-01-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
04-01-2026
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
04-01-2026
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
04-01-2026
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
04-01-2026
TAARIFA KWA UMMA
04-01-2026