KILIMANJARO YAITIKA UFUNGUZI KAMPENI YA CCM SERIKALI ZA MITAA
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI) na Mlezi wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Ndg. Rabia Abdalla Hamid amezindua rasmi kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 20, 2024 katika Viwanja vya Bomambuzi, Moshi Mjini, Mkoa wa Kilimanjaro.
Ndg. Rabia amewaomba wananchi kuwachagua wagombea wa CCM kwa kuwa wamekidhi sifa za uongozi na wamebeba ajenda halisi za maendeleo.
Amesema Serikali ya CCM inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeleta maendeleo makubwa katika vitongoji, vijiji, mitaa na taifa kwa jumla, hivyo ni muhimu kuwachagua wagombea wa CCM katika uchaguzi huo ili wakashiriki kwenda kusimamia maendeleo.
Aidha, ameomba wanachama wa CCM kuunganisha nguvu katika kipindi hiki cha kampeini na kuhakikisha ushindi mkubwa unapatikana itakapofika Novemba 27, 2024 siku ya kupiga kura.
Ndg. Rabia ameeleza umuhimu wa serikali za mitaa kama sehemu ambayo wananchi huwasilisha changamoto zao kwenda serikalini kwa ajili ya kupata ufumbuzi.
Amewasihi wananchi kujitokeza kupiga kura na kukichagua Chama Cha Mapinduzi ili kuendeleza kazi kubwa ambazo zimefanyika na zinazoendelea kufanyika za kuwaletea wananchi maendeleo.
#Chamakipokazini.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
07-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
07-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
07-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
07-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
07-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
07-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
07-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
07-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
07-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
07-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
07-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
07-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
07-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
07-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
07-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
07-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
07-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
07-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
07-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
07-12-2025