MAKALLA: CCM ITAENDELEA KUTATUA KERO ZA WANANCHI
•Aongea na wananchi DUMILA na kusikiliza kero
DUMILA: Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi(CCM) CPA, Amos Makalla amesema chama hicho, ndicho chenye jukumu la kusikiliza na kutatua kero mbalimbali zinazowakabili Watanzania..
CPA, Makalla amesema wajibu huo unatekelezwa vema na CCM, akiwataka Watanzania kutokuwa na wasiwasi kuhusu utatuzi wa kero zinazowakabili kwa sababu maendeleo yanaendana na changamoto.
CPA, Makalla ameeleza hayo leo katika Kata ya Dumila wilayani Kilosa aliposimama kuwasalimia wananchi wa eneo akieleke wilayani Gairo kufanya mkutano wa hadhara.
"CCM ndio yenye thamana ya kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi wengine hawawezi hilo," amesema CPA.
Katika mkutano huo, Makalla alizibeba kero za maji, barabara, ushuru na stakabadhi gharani zilizowasilishwa na wananchi wa Dumila aliyewapa fursa ya kueleza changamoto zinazowakabili.
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
14-12-2025
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
14-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
14-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
14-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
14-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
14-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
14-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
14-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
14-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
14-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
14-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
14-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
14-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
14-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
14-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
14-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
14-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
14-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
14-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
14-12-2025