Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa  Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussei Ali Mwinyi  akijumuika na Viongozi wa Serikali, Dini na Wananchi katika Sala ya  Maiti, aliyekuwa Mke wa Marehemu Sheikh.Hyder Jabir Saleh E-Farsy,Marehemu  Zulekha Ahmed Abdallah, ikiongozwa na Mtoto wa  Marehemu Sheikh Ahmad Hyder Jabir E-Farsy,iliyofanyika katika Msikiti wa Mkuu wa Ijumaa Malindi Wilaya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Alhajj Othman Masoud Othman na (kushoto kwa Rais) Mbunge wa Jimbo la Mahonda Mhe. Abdalla Hassan Mwinyi na Mtoto wa Marehemu Sheikh Kassim Hyder Jabir.(Picha na Ikulu)

alternative

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa  Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussei Ali Mwinyi  akijumuika na Viongozi wa Serikali, Dini na Wananchi katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Zulekha Ahmed Abdallah, baada ya kumalizika kwa Sala ya Maiti,iliyofanyika katika Msikiti wa Mkuu wa Ijumaa Malindi Wilaya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Alhajj Othman Masoud Othman na (kushoto kwa Rais) Mbunge wa Jimbo la Mahonda Mhe. Abdalla Hassan Mwinyi na Mtoto wa Marehemu Sheikh Kassim Hyder Jabir.(Picha na Ikulu)

alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi