Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


MAPOKEZI YA KATIBU WA NEC-ITIKADI, UENEZI NA MAFUNZO CPA MAKALLA WILAYA YA KIGAMBONI

alternative

 

Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa CPA Amos Makalla 27 Agosti 2024 amepokelewa na Viongozi wa Mkoa wa Dar es salaam wa Kichama na Serikali katika Wilaya ya Kigamboni tayari kwa kukagua na Kusikiliza kero kwa Wananchi wa Kigamboni
 

alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi