SERIKALI YA RAIS SAMIA IMETENGA BILIONI 227.9 KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU
> Asema hii ni fursa katika kujiendeleza kiuchumi
> Atoa maagizo kwa UVCCM na UWT kuhamasisha juu ya mikopo ya 10% kutoka Halmashauri
Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Ndugu. Amos Makalla amesema serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, imerejesha mikopo ya asilimia 10% ya uwezeshaji Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu kwa lengo la kuendelea kuwawezesha kiuchumi.
" Zaidi ya Tsh Bilioni 227.9 zinakwenda kusaidia katika kuukuza uchumi kwa watanzania baada ya kurudishwa kwa mikopo ya halmashauri kwaajili ya Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu "
Mwenezi Makalla ameyasema hayo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa chama kuanzia ngazi ya mashina, Viongozi wa serikali, Taasisi zisizo za kiserikali, Wazee na Viongozi wa dini katika mkutano maalum wa uwasilishaji wa taarifaya utekelezaji wa ilani ya CCM ya mwaka 2020/25 kwa kipindi cha miaka 3 (2021/24) Mkoani Njombe.
Akizungumza katika mkutano huo, Makalla ametoa salamu za shukrani kwa mapokezi makubwa na mazuri pamoja na kufanyika kwa mkutano wa hadhara mkubwa siku ya jana tareghe 18 Aprili, 2024 eneo la Makambako, mkutano ambao amesema ulikuwa wenye maandalizi ya kiwango cha juu.
Aidha, Makalla amesema CCM inaamini Mabalozi wa mashina na mataw ndio wenye watu wanchama wa CCM na wananchi kwa ujumla hivyo kuwataka Mabalozi kuendelea kufanya kazi kubwa wanayoifanya ya kuendelea kuhamasisha na wananchi wengine kujiunga na CCM.
" Tunaamani msingi wa chama chetu ni mabalozi wa mashina na matawi na huko ndipo walipo wana CCM na wananchi, hongereni sana mabalozi kwa kazi nzuri na chama kina imani kubwa nanyi endeleeni kuhamasisha watu kujiunga na CCM "
ποΈ19 Aprili, 2024
πNjombe
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
17-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
17-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
17-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
17-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
17-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
17-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
17-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
17-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
17-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
17-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
17-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
17-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
17-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
17-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
17-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
17-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
17-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
17-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
17-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
17-03-2026