DKT.DIMWA ATOA MKONO WA POLE KWA FAMILIA ZA MAKADA WA CCM WALIOFARIKI PEMBA
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt Mohamed Said Dimwa,ametoa mkono wa pole na kuzifariji familia za Viongozi na Makada wa CCM waliofariki Dunia siku za hivi karibuni katika maeneo mbali mbali ya Kisiwa cha Pemba.
Kupitia ziara hiyo Dkt.Dimwa amewasihi,ndugu wa familia,marafiki na jamaa wa karibu kuendelea kuwa wavumilivu na wawaombee dua ndugu zao waliofariki ili wawe na makaazi mema katika pepo ya Mwenyezi Mungu.
Amesema Chama Cha Mapinduzi kilipokea kwa majonzi na mshituko mkubwa taarifa za vifo hivyo vilivyowapoteza makada waliokuwa mstari wa mbele katika kulinda,kutetea na kusimamka kwa vitendo maslahi ya CCM.
Katika ziara hiyo Dkt.Dimwa,alifika Jimbo la Kiwani kuifariji na kutoa mkono wa pole kwa familia ya aliyekuwa Katibu mstaafu wa Siasa na Uenezi wa CCM Mkoa wa Kusini Pemba Marehemu Mwl.Khatib Haji Khalid aliyeacha wajane wawili ambao ni Bi.Kazija Faki Abdalla na Bi.Mwanamiza Jape Khatib na kueleza kuwa CCM itaendeleza kuwa karibu na familia hiyo katika masuala ya Kijamii.
Wakati huo huo alitoa mkono wa pole kwa familia ya aliyekuwa kada wa CCM Tawi la Ukutini Jimbo la Chambani, Marehemu Hassan Ali Faki na kuwasihi waendelee kuwa wavumilivu na wamuombee dua nyingi kada huyo.
"Tumepoteza nguvu kazi na watu muhimu sana waliojitolea kufanya mambo yenye tija ndani ya Chama chetu hivyo nasaha zangu kitu pekee cha kuwalipa ni kuwaombea dua nyingi Mwenyezi Mungu awajaalie nafasi katika pepo ya Firidausi",alieleza Dkt.Dimwa.
Amewaka Wanachama wa CCM nchini kuenzi kwa vitendo historia nzuri za kiutendaji,uadilifu,misimamo na uaminifu usiyoyumba ulioasisiwa na makada hao katika kukitumikia Chama na Jumuiya zake.
Katika maelezo yake Naibu huyo Dkt.Dimwa,alitoa wito kwa waumini wa dini ya kiislamu nchini kutumia vizuri fursa ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kufanya ibada,kutoa sadaka na kuwaombea dua ndugu na jamii waliofariki.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
24-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
24-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
24-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
24-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
24-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
24-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
24-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
24-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
24-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
24-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
24-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
24-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
24-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
24-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
24-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
24-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
24-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
24-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
24-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
24-10-2025