Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


CCM YAMCHANGIA LISSU SHILLINGI  MILLIONI TANO -UNUNUZI WA GARI

alternative

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. John Nchimbi,akishuhudia Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) - Oganaizesheni,Issa Ussi Haji Gavu akionesha zaidi ya Sh.  Mil. 5 zilizochangwa na Wana CCM Pamoja na Wananchi katika Mkutano wa hadhara wa CCM, za kusaidia matengenezo ya gari bovu la Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Antipas Tundulisu. Tukio hilo limetokea leo  Alhamis Agosti 15, 2024 kwenye Uwanja wa Furahisha jijini Mwanza,wakati Balozi Nchimbi akihitimisha  leo ziara yake ya siku mbili  jijini humo.Kulia ni Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla.

alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi