DK MWINYI AZIKARIBISHA TIMU ZA KIMATAIFA ZANZIBAR KUJA KUJIONEA HAIBA MANDHARI NZURI NA VIVUTIO VYA UTALII VILIVYOPO
Dk. Mwinyi aliyasema hayo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na timu ya “Kaizer Chief” kutoka Afrika Kusini iliyoalikwa nchini ya timu ya Wananchi “Yaung Aficans”, Yanga. Alisema, Zanzibar ni kisiwa cha utalii chenye vivutio vingi vya Fukwe za bahari na
Hifadhi ya kimataifa ya Mji Mkongwe, hivyo aliikaribisha timu ya “Kaizer Chiefs” kuitumia fursa ya uwepo wao nchini kutembelea baadhi ya vivutio hivyo ili wakawe mabalozi wazuri wanapokuwa nchini kwao. Aliwataka wanapopata tena fursa warudi nchini kuitembelea zaidi Zanzibar pia waitangaze sana wanapokuwa Afrika ya Kusini na mataifa mengine kwa ujumla kupitia utalii wa michezo. Rais Dk. Mwinyi alisema, Zanzibar imekua na ndoto kubwa ya kufanya utalii wa michezo, hivyo ujio wa Kaizer Chief umeakisi dhana halisi ya sekta ya Utalii nchini. Vile vile Rais Dk. Mwinyi aliwaeleza Kaizer Chief aliyoambatana na ujumbe wa watu 58 wakiwemo wachezaji na viongozi wa timu hiyo, kwamba Zanzibar ina maeneo mazuri ya kupumzikia hivyo, aliwaeleza kuitumia Zanzibar kwajili ya mapumziko yao na familia zao pia kuitangaza kimataifa kwa kutaja mazuri ya utalii waliyoyashuhudia
.Naye, Waziri wa Habari Vijana na Michezo, Tabia Mauli Mwita aliushukuru uongozi wa timu ya Yanga kwa juhudi zao za kuikaribisha nchini, timu ya Kaizer
Chief sambamba na kumueleza Rais Dk. Mwinyi kwamba ujio wa timu ya Afrika Kusini nchini ni kuendeleza jitihada za kuutangaza utalii wa nchi. Pia, Waziri Tabia alimuarifu Dk. Mwinyi mwamba, ameikabidhi bendera ya taifa timu ya wanawake ya Zanzibar, chini ya umri wa miaka 18 kwenda Tanzania Bara kuiwakilisha Zanzibar kwenye mashindano ya Cecafa yanayofanyika Tanzania Bara wakizishirikisha nchi mbalimbali kutoka Afrika, ikiwemo Tanzania, Burundi, Rwanda na Ethiopia. Akizungumza kwenye hafla hiyo, Rais wa timu ya Yanga, Injinia Hersi Ally Said alisifu juhudi zinazofanywa na Rais Dk. Mwinyi kuitangaza nchi kiutalii kimataifa,pamoja na kukuza utalii. Alisema, hatua ya kuifikisha timu ya Kaizer Chini, Zanzibar ni kuunga mkono juhudi zake na kuitangaza Zanzibar kimataifa na kuongeza taarifa za uwepo wa timu hiyo kisiwani Unguja hazitosambaa Afrika Kusini pekee bali na mataifa mengine ya dunia. “Hatua ya kuileta Zanzibar, Timu ya Kaizer Chiefs, yenye historia barani Afrika ni sababu ya kuitangaza Zanzibar kimataifa na kufungua milango kwa wageni wengine kuja kutembelea vivutio vya utalii vya Zanzibar na Tanzania kwa ujumla”alieleza Hersi. Alisema anaimani kubwa na Kaizer Chiefs, kwamba ikiondoka nchini itakua imeitangaza zaidi Zanzibar Kimataifa kupitia mashabiki wao wa Afrika ya Kusini namataifa mengine ya dunia.Pia, Injinia Hersi alimueleza Rais Mwinyi kwamba timu ya Yanga imekua ikishiriki mashindano ya muhimu ya Mapinduzi Cup yanayofanyika Zanzibar na kuahidi kwamba timu hiyo imejipanga kwa kikosi maalumu kushiriki tena mashindanoyajayo.Alieleza, ujio wa mabingwa hao kutoka Afrika kusini “Kaizer Chief” ni heshima kubwa nchini pia kuitembelea Zanzibar, alisema ugeni huo ulikwenda sambamba na maadhimisho ya wiki ya wananchi ilivyofanikisha kuwapokea wageni kufuatia mwaliko waliowatumia na kuongeza kuwa wiki ya wananchi kwa timu yao ya Yanga iliyoanza Julai 15 na kuhitimishwa Julai 22 mwaka huu.
Timu ya Afrika Kusini Kaizer Chief ilifanikiwa kutembelea maeneo machache ya Zanzibar kujionnea utajiri na uzuri wa haiba ya Kisiwa cha Unguja.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
06-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
06-11-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
06-11-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
06-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
06-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
06-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
06-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
06-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
06-11-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
06-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
06-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
06-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
06-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
06-11-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
06-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
06-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
06-11-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
06-11-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
06-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
06-11-2025