Wizara ya mambo ya ndai Yapokea Muundo Unaopendekezwa wa Shirika la Polisi
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imepokea Muundo Unaopendekezwa wa Shirika la Uzalishaji Mali wa Jeshi la Polisi kutoka kwa timu ya Wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakiongozwa na Profesa John Kafuku ambapo Shirika hilo la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi lilianzishwa Machi,29,2013 kupitia Agizo la Rais namba 66 la kuboresha miundombinu na kujenga uwezo wa kiuchumi wa Jeshi la Polisi baada yay a Serikali kupitisha Mkakati wa Maboresho wa Jeshi la Polisi wa miaka mitano unaolenga kujenga usasa,ushirikiano wa jamii na utaalamu.
Akizungumza wakati wa wasilisho hilo Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni alisema adhma ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Samia Suluhu Hassan ni kuona vyombo vya ulinzi na Usalama vikibakia katika majukumu yake ya msingi ambayo ni ulinzi wa raia na mali zao huku mashirika ya uzalishaji mali yaliyopo katika vyombo hivyo yakiachwa yafanywe shughuli za uzalishaji mali ikiwemo kilimo,uzalishaji wa fenicha,ushonaji wa nguo,utengenezajai wa viatu.
‘Maelekezo ya Mheshimiwa Rais yalikua yapo wazi na yalilenga kuyafanya majeshi yetu yawe na mashirika ambayo yako katika ushindani katika sekta husika ikiwa ya kilimo au viwanda na akataka mapato yanayotokana na mashirika hayo yatumike kuimarisha vyombo hivyo vya ulinzi na usalama’.alisema Waziri Masauni Pia amewapongeza wataalamu hao kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa wasilisho la muundo pendekezi huku akiwaomba kujumuisha na maoni yaliyotolewa na wajumbe wa kikao hicho huku akiwaomba kuhakikisha wanarejesha muundo huo wa mwisho ili shirika liweze kuingia kwenye utendaji wa miradi mbalimbali iliyopo mbele yake ikiwemo mradi wa miji salama.
Kikao hicho kilihudhuriwa pia na Katibu Mkuu wa wizara hiyo,Ally Senga Gugu,Naibu Katibu Katibu Mkuu,Dkt. Maduhu Kazi,Kaimu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini,Kamishna wa Polisi,Liberati Sabas na Wakurugenzi wa Idara zilizopo chini ya wizara hiyo.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
18-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
18-11-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
18-11-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
18-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
18-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
18-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
18-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
18-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
18-11-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
18-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
18-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
18-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
18-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
18-11-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
18-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
18-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
18-11-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
18-11-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
18-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
18-11-2025