KULIIBIA TAIFA NI KUJIIBIA MWENYEWE - BALOZI DKT. NCHIMBI
> Akemea tabia ya wizi na vitendo vya RUSHWA
> Awataka TAKUKURU kuendelea kufuatilia matumizi ya fedha ya miradi yote nchini
> Asisitiza matumizi sahihi ya fedha katika miradi ya serikali
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekemea tabia ya wizi na kulaani vikali watu wote wenye tabia ya wizi na vitendo vya rushwa.
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa stendi ya zamani ya makambako mkoani Njombe, Balozi Dkt. Nchimbi amewaomba viongozi wa dini kuendelea kuliombea taifa na kukemea tabia ya vijana kutofanya kazi na badala yake kujikita kwenye tabia za kufanya kazi zisizo halali.
Akitoa majibu ya kero za wananchi kuhusiana na tabia ya wizi na ujangili, Balozi Dkt. Nchimbi amemuelekeza Mkuu wa Mkoa wa Njombe Ndug. Mtaka kufanya uchunguzi ili kubaini vinara wa ujambazi na mauji kwa lengo la kuthibiti kabisa tabia hizo.
Vilevile, Balozi Dkt. Nchimbi amewataka viongozi wote wa serikali kuwa na matumizi sahihi ya fedha za umma na kuwataka TAKUKURU kuendelea na kazi yao nzuri ya kufuatilia miradi yote ya kimaendeleo kuanzia inavyoanza hadi kukamilika kwake.
" Mkoa wa Njombe mmepata Tsh Bilioni 900 hela hizo ni nyingi sana na nitumie nafasi hii kuwapongeza Mkuu wa mkoa na wabunge wenu kwa kutengeneza ushawishi wa kumfanya Rais Dkt. Samia kutoa fdha hizo ndani ya mkoa wenu "
" Vyombo vyote vya serikali vyenye mamlaka ya matumizi ya fedha za miradi hakikisheni pesa hizo zinatumika kihalali na msisubiri kukamata walioiba bali ni lazima mdhibiti na kuzuia mianya ya uibaji "
" TAKUKURU hakikisheni miradi yote hasa mikubwa ya maendeleo mnaifuatilia tangu ikiwa inaanza kuhakikisha hakuna fedha ya umma inaibiwa na kutumika vibaya, tunataka thamani ya fedha ieandane na thamani ya mradi husika "
ποΈ18 Aprili, 2024
πMkutano wa Hadhara Makambako - Njombe
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025