Wasira: Idadi ya Wanachama wa CCM Yatosha Kuendelea Kushika Dola
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stevin Wasira, amesema idadi kubwa ya wanachama waliosajiliwa ndani ya chama hicho inatosha kukifanya CCM kuendelea kushika dola na kubaki madarakani.
Wasira alitoa kauli hiyo leo, Januari 23, 2025, baada ya kupokewa na wanachama wa CCM katika Makao Makuu ya chama hicho, jijini Dodoma. Akizungumza mbele ya mamia ya wanachama waliojitokeza, Wasira alisema, "Kwa mtaji wa wanachama tuliowasajili, CCM ina nguvu ya kuendelea kushika madaraka na kuleta maendeleo endelevu kwa Watanzania."
Akiwa kwenye mkutano huo, Wasira aliwakumbusha wanachama na viongozi kuwa mwaka 2025 ni mwaka muhimu wa uchaguzi wa Rais, Wabunge, na Madiwani, na hivyo aliwataka wanachama waendelee kuwa imara na kushirikiana kuhakikisha chama kinapata ushindi wa kishindo.
"Huu ni mwaka wa uchaguzi, ni lazima tuhakikishe tunadumisha mshikamano, tukitekeleza sera zetu kwa ufanisi, na kuendelea kuwahudumia Watanzania kwa uadilifu," alisisitiza Wasira.
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
02-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
02-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
02-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
02-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
02-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
02-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
02-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
02-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
02-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
02-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
02-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
02-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
02-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
02-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
02-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
02-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
02-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
02-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
02-03-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
02-03-2026