MAKALLA: CHADEMA FANYENI REFORMS MLIZOHAIDI NDANI YA CHAMA
Katibu wa NEC, Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM, Amos Makalla ameendelea kukipiga mkwara chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nakusema ajenda yao ya No reform no election ianzie ndani ya chama chao.
Amesema Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu wakati anaomba wanachama wa mchague kushika wadhifa huo aliahidi kufanya mabadiliko makubwa ikiwemo kuweka ukomo wa uongozi lakini baada ya kuingia amekaa kimya.
Msingi wa hoja ya Makalla amedai mabadiliko ya mifumo huru ya uchaguzi inayoshinikizwa na Chadema haina tija yeyote kwani tayari imeshafanyika ikiwemo wakurugenzi kutokusimamka uchaguzi na hakuna mgombea atakayeshinda bila kupingwa.
Akizungumza kwenye muendelezo wa ziara zake anazozifanya katika wilaya za mkoa wa Dar es Salaam kwa kufanya mkutano ya ndani na viongozi wa chama hicho kuanzia ngazi ya shina hadi wilaya kuhimiza watanzania kujitokeza kuboresha taarifa zao kwenye daftari la kudumu la mpigakura.
Akiwa kwenye mkutano wa ndani uliofanyika viwanja vya Toto Tundu Kata ya Tabata Segerea, Makalla amesema anashangaa kuona chama hicho kuja na ajenda hiyo na kudai watazuia uchaguzi.
"Niwaambie hizo no reform no election wanazosema zianzie kwanza ndani ya chama chao, mbona wakati anapoga kampeni kugombea nafasi ya uenyekiti wa Chadema alikuwa anasema Freeman Mbowe amekaa muda mrefu na kuahidi akiingia atafanya mabadiliko.
"Baada ya kuingia amekaa kimya wala hazungumzi chochote, nasema ajenda hiyo ianzie kwanza kwenye chama chao," amesema.
Makalla amesema hata kampeni wanayoendesha kutaka kuzuia uchaguzi kwa nguvu ya umma haiwezi kufanikiwa kwani CCM kina umma mkubwa kuliko Chadema.
"Kuzuia uchaguzi uliopo kwa mujibu wa sheria ni kosa kubwa, kwanza niseme hawawezi kufanikiwa na wasipo shiriki uchaguzi suala la kuitwa chama kikubwa cha upinzani litakuwa limeisha," amesema
Kulingana na Makalla ambaye ni mlezi kwa mkoa huo, amesema anachokiona Chadema iwapo hawatashiriki uchaguzi wanataka kuua ndoto za waliotamani kugombea nafasi mbalimbali za udiwani na ubunge.
"Chadema wanasumbuliwa na bundi na wanajaribu kuzungumza ajenda hii kutaka kuziba mgawanyiko unaoendelee ndani ya chama hicho kutokana na uchaguzi wa ndani walioufanya," amesema
#CCMImara
#VitendoVinasauti
#KaziIendelee
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
25-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
25-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
25-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
25-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
25-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
25-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
25-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
25-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
25-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
25-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
25-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
25-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
25-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
25-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
25-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
25-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
25-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
25-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
25-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
25-10-2025