WASIRA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MBOZI WILAYANI MBOZI
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira amekagua baadhi ya miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe.
Wasira alikagua miradi hiyo leo Machi 15, 2025 ambapo moja ya miradi hiyo ni ujenzi wa Hospitali ya Mkoa wa Songwe iliyopo Vwawa wilayani Mbozi, ambapo serikali chini ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan imetoa sh. bilioni 16 kufanikisha ujenzi wake.
Pia, Makamu Mwenyekiti Wasira alipata fursa ya kutembelea Shule ya Msingi Hiloli ambapo alizungumza na wanafunzi wa darasa la saba wanaojiandaa kufanya mtihani wa taifa mwaka huu.
Aliwahakikishia wanafunzi hao kuwa serikali chini ya uongozi wa Rais Dk. Samia itaendelea kuwajengea mazingira mazuri kuhakikisha wanapata elimu bora kuanzia msingi hadi chuo kikuu.
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
17-12-2025
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
17-12-2025
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
17-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
17-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
17-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
17-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
17-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
17-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
17-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
17-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
17-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
17-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
17-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
17-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
17-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
17-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
17-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
17-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
17-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
17-12-2025