CCM CHINI YA MWENYEKITI DKT. SAMIA IMEENDELEA KUTUAMINI VIJANA, TUCHAPE KAZI TUSIMUANGUSHE - CDE. JOKATE
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Komredi. Jokate Mwegelo, amewataka vijana wote wanaoaminiwa na kupewa nafasi za uongozi ndani ya chama au serikali kufanya kazi kwa bidii na kwa ubunifu wa hali ya juu kwa manufaa ya Taifa kwa ujumla.
Komredii Jokate ameyasema hayo wakat akizungumza kwenye kikao na viongozi wa Chama na Jumuiya ya UVCCM Mkoa wa Iringa mara baada ya kuwasili na kupokea taarifa ya kazi ya UVCCM mkoani humo.
"Yatupasa wakati wote kutoa shukrani kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinachoongozwa na Mwenyekiti na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kutuamini vijana hususani vijana wa kike na kutuamini katika kutupa nafasi za uongozi ndani ya chama na serikali yetu hivyo ni wajibu na ulazima kufanya kazi kwa bidii na ubunifu kwa manufaa ya chama, serikali na Taifa kwa ujumla"
Akiendelea kuzungumza na viongozi hao, Komredi Jokate amesisitiza juu ya Ushirikano katika kufanya kazi.
"Kikubwa kwetu ni ushirikiano wa kutosha na kufanya kazi kubwa kulingana na wajibu wetu katika kuhakikisha vijana wanapata fursa mbalimbali hususani kuwainua kiuchumi, kuendelea kuwasemea vema viongozi wetu wa chama na serikali na kuhakikisha CCM inaendelea kushika dola."
Aidha, Komredi Jokate amesema lengo kubwa la kuwasili mkoani Iringa ni mpango mkakati wa kuinua kituo cha Ihemi kuwa chachu na fursa zaidi kwa vijana.
"Tumekuja hapa kuangalia fursa za kuendeleza kituo chetu cha Ihemi na hivi karibuni tutakuwa na mafunzo kwa viongozi wetu wa wilaya nchi nzima."
"Tunataka kuimarisha kituo cha Ihemi na kwa namna tulivyojipanga tuna hakika tutaweza kufikia adhma hiyo."
"Niwasihi vijana wenzangu wa CCM , chama chetu kina namna na utartibu wake wa kuwasilisha majambo yetu na changamoto zetu hata za baina yetu ya sisi kwa sisi kupitia vikao na si kutumia njia zingine ambazo ni sawa na kuwa faida wapinzani kupata la kusemea, tuwe wazalendo, tupende chama na nchi yetu na tuwe na utulivu."
π21 Juni, 2024
πMkoani Iringa
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
09-01-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
09-01-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
09-01-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-01-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-01-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-01-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-01-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-01-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-01-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-01-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-01-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-01-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-01-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-01-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-01-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-01-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-01-2026
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-01-2026
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-01-2026
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-01-2026