ACHENI KUPANGA SAFU YA WENYEVITI KWA KUWAOGOPA MADIWANI NA WABUNGE - NDG. ISSA GAVU
> Akemea utoaji na upokeaji wa rushwa
"...Tukinyamaza kimya bila kusema kazi kubwa inayofanywa na Serikali ya CCM maana yake tunaungana na wachache wasiokitakia mema chama chetu na kupotosha kwa lengo la kukichafua na serikali tunayoiongoza, lazima tukitendee chama chetu haki, wananchi na Rais wetu Mama yetu Dkt. Samia Suluhu Hassan"
"Naamini sote tunajua nini maana ya wajibu wa dhima ya kiongozi wa chama na serikali."
"Ili tupate mtaji mzuri wa kushinda chaguzi za mwaka huu 2024 na mwakani 2025 lazima tubadilike, kwakuwa uhai wa CCM ni kuhakikisha kila mmoja wetu ana wajibu wa kuhamaisha CCM , lazima tuongeze idadi ya wanachama kwakuwa huo ndio mtaji wa kura."
"Uchaguzi wetu ni wa kidemokrasia na demokrsia ni kura zinapigwa na wanadamu lazima tuwe na idadi kubwa ya wanachama, wafuasi, na mashabiki na wakati wa kuboresha daftari la wapiga kura watu hao waende kwa wingi."
"Acheni kupanga safu ya wenyeviti na vitongoji, mkipanga safu kwa kuwaogopa madiwani na wabunge hamkitendei haki chama chetu, hatuhitaji ushindi unaotokana na makandokando , hatuna sababu ya kuendekeza rushwa wala kuendekeza wachache wasiotaka maslahi ya watu wengi, lazima jamii iendelee kutuamini kama kweli mategemeo ya kila mtanzania yapo ndani ya CCM."
Ndugu. Issa Haji Gavu
Katibu wa NEC - Oganaizesheni
Ameyasema hayo kwenye Mkutano wa kueleza muelekeo wa Chama pamoja na mambo mengine kuhusu uelekeo wa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka huu wa 2024 na uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
Mkutano huu umekutanisha, Wajumbe wa Mashina na Wenyeviti wa Mitaa, Vijiji na Vitongoji na Miitaa, Viongozi wa Chama ngazi zote, Wazee mashuhuri, Viongozi wa Dini pamoja na Watendaji wa serikali ngazi zote na Taasisi zisizo za kiserikali.
ποΈ 13 Aprili, 2024
πMpanda - Mkoani Katavi
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
23-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
23-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
23-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
23-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
23-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
23-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
23-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
23-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
23-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
23-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
23-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
23-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
23-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
23-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
23-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
23-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
23-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
23-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
23-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
23-03-2026