Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


COMRADE MONGELLA  AWASILI KAHAMA  KUKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM  

alternative

John Mongella, Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, amewasili mjini Kahama leo, tarehe 7 Septemba 2024, kwa ziara ya siku moja wilayani humo. Ziara hii inalenga kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama ya 2020-2024. Mongella pia amekutana na Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kahama kwa madhumuni ya kuboresha utendaji wa kazi za chama. Ziara yake mkoani hapa inatarajiwa kudumu kwa siku saba.

alternative alternative alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi