Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


RATIBA YA ZIARA YA NAIBU KATIBU MKUU WA CCM ZANZIBAR 9-12 SEPTEMBA 2024

alternative

Ratiba ya ziara ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM zanzibar Dkt. Mohammed Said Mohammed (dimwa) pamoja na wajumbe wa Kamati Maalum ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa, Zanzibar kutembelea na kukagua uhai wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya zote kisiwani - Pemba kuanzia tarehe 09 septemba, 2024 hadi 12 septemba, 2024

alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi