Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


KATIBU MKUU WA CCM AZUNGUMZA NA MKURUGENZI MKAAZI WA  SHIRIKA LA  FES UJERUMANI 

alternative

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la Friedrich Ebert Stiftung (FES) la nchini Ujerumani, Bwana Christian Denzin, aliyefika ofisini kwa Katibu Mkuu wa CCM kwa ajili ya kujitambulisha na kuzungumza mbalimbali ya kuimarisha uhusiano kati ya CCM na FES, leo tarehe 19 Septemba 2024, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar ES Salaam.

alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi