Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


KINANA:HAYATI MWINYI NDIYE  ALIANZISHA MFUMO WA VYAMA VINGI NA KUJENGA UCHUMI HURIA.
 

alternative

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Ndg. Abdulrahman Kinana ameyasema hayo  Machi 1, 2024 wakati akitoa salamu za pole kwa familia, viongozi na wananchi  wakati wa kuaga mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Ali Hassan Mwinyi katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam.

alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi