Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


WASIRA AZUNGUMZA NA MAMIA YA WANA CCM MBEYA

alternative

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira amezungumza na wanachama, viongozi wapenzi wa CCM Mkoa wa Mbeya ambapo amewahakikishia kuwa serikali imedhamiria kufanikisha ufumbuzi wa changamoto mbalimbali katika jamii.

Akizungumza katika mkutano uliofanyika katika Hoteli ya Eden Highland, jijini Mbeya amewataka wananchi waendelee kuiamini CCM na serikali yake ambayo imeendelea kutatua changamoto.
 

alternative alternative alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine