Wazanzibari na Waumini wa Dini ya Kiislamu wametakiwa kuacha rushwa muhali wa kutkataa kutoa ushahidi kwa wale ambao wamepatikana na makosa ya udhalilishaji wa kijinsia hasa kwa wanawake na watoto.
Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla wakati akiwasalimia waumini wa Masjid ISLAH JANG’OMBE WAYANI mara baada ya kumaliza Ibada ya Sala ya Ijumaa.
Amesema ni lazima wazanzibari na waumini wa dini zote kushirikiana na kuwa wawazi na kuacha muhali kwa kwenda kutoa ushahidi mahakamani au sehemu za kisheria kwa muhusika wa kosa la udhalilishaji ili kuirejeshea heshima nchi yetu.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amewataka wasimamizi na watowaji wa haki katika vyombo vya sheria kuhakikisha wanatoa haki kwa kila mwananchi anaefikwa na tatizo ili waweze kuwa na imani na mihimili hio sambamba na kuwataka kutomuonea mtu yoyote katika kutoa hukumu kwa sindikizo au matwaka ya watu fulani.
Alhajj Hemed amewataka waumini na Wazanzibari kuomba dua maalum ya kuiombea nchi ili Mwenyezi Mungu aliondoshe kabisa janga hili la udhalilishaji janga ambalo linaiondolea sifa njema nchi yetu.
Akizunguzia suala la madawa ya kulevya Alhajj Hemed amewataka wananchi wa Zanzibar na watanzania kwa ujumla kutokuwafumbia macho wale waote wanaoshiriki katika kuingiza nchini dawa hizo, kutumia, kusambaza Uraibu huu ambao unaondosha nguvu kazi za vijana.
Mapema akitoa Khutba katika Sala ya Ijumaa, Maalim ABDUL- HAKIM ABDALLA amewataka waumini wa Dini ya Kiislam kuishi kwa wema na ihsani na majirani zao ikiwa ni miongoni mwa kufanya ibada na kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja na kuwalea watoto wao kaatika malezi yanamrizisha Allah (S.W)
Amesema kuwa suala la kuhimizana kufanya ibada lianzie kwa jirahi yako na watu tunaoishi nao katika maeneo yetu kufanya huvyo ni kufuata nyayo za mtume Muhamad (S.A.W) na kuongeza mapenzi baina yetu.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
24-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
24-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
24-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
24-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
24-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
24-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
24-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
24-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
24-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
24-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
24-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
24-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
24-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
24-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
24-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
24-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
24-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
24-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
24-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
24-10-2025