Wazanzibari na Waumini wa Dini ya Kiislamu wametakiwa kuacha rushwa muhali wa kutkataa kutoa ushahidi kwa wale ambao wamepatikana na makosa ya udhalilishaji wa kijinsia hasa kwa wanawake na watoto.
Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla wakati akiwasalimia waumini wa Masjid ISLAH JANG’OMBE WAYANI mara baada ya kumaliza Ibada ya Sala ya Ijumaa.
Amesema ni lazima wazanzibari na waumini wa dini zote kushirikiana na kuwa wawazi na kuacha muhali kwa kwenda kutoa ushahidi mahakamani au sehemu za kisheria kwa muhusika wa kosa la udhalilishaji ili kuirejeshea heshima nchi yetu.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amewataka wasimamizi na watowaji wa haki katika vyombo vya sheria kuhakikisha wanatoa haki kwa kila mwananchi anaefikwa na tatizo ili waweze kuwa na imani na mihimili hio sambamba na kuwataka kutomuonea mtu yoyote katika kutoa hukumu kwa sindikizo au matwaka ya watu fulani.
Alhajj Hemed amewataka waumini na Wazanzibari kuomba dua maalum ya kuiombea nchi ili Mwenyezi Mungu aliondoshe kabisa janga hili la udhalilishaji janga ambalo linaiondolea sifa njema nchi yetu.
Akizunguzia suala la madawa ya kulevya Alhajj Hemed amewataka wananchi wa Zanzibar na watanzania kwa ujumla kutokuwafumbia macho wale waote wanaoshiriki katika kuingiza nchini dawa hizo, kutumia, kusambaza Uraibu huu ambao unaondosha nguvu kazi za vijana.
Mapema akitoa Khutba katika Sala ya Ijumaa, Maalim ABDUL- HAKIM ABDALLA amewataka waumini wa Dini ya Kiislam kuishi kwa wema na ihsani na majirani zao ikiwa ni miongoni mwa kufanya ibada na kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja na kuwalea watoto wao kaatika malezi yanamrizisha Allah (S.W)
Amesema kuwa suala la kuhimizana kufanya ibada lianzie kwa jirahi yako na watu tunaoishi nao katika maeneo yetu kufanya huvyo ni kufuata nyayo za mtume Muhamad (S.A.W) na kuongeza mapenzi baina yetu.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
26-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
26-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
26-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
26-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
26-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
26-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
26-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
26-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
26-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
26-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
26-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
26-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
26-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
26-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
26-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
26-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
26-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
26-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
26-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
26-03-2026