DKT SAMIA AMELETA MAPINDUZI MAKUBWA SEKTA YA ELIMU - CPA MAKALLA
Shule za High School zilikuwa chache lakini leo zipo kila Mkoa, Miongoni mwao za Wasichana zikiwa na Michepuo ya Sayansi
Katibu wa NEC-Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu Amos Makalla leo Septemba 05, 2024 amekagua Ujenzi katika Sekondari ya Samia ya Wasichana Mchepuo wa Sayansi iliyopo Wilayani Longido Mkoani Arusha.
CPA. Makalla akiambatana na Viongozi wa Serikali na Chama cha Mapinduzi (CCM) amezungumza na Wanafunzi na Walimu kwenye Sekondari hiyo, ambapo amesema Rais na Mwenyekiti wa Chama hicho Dkt Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kuleta mapinduzi Makubwa Kwenye Sekta ya Elimu hapa nchini.
"Nataka niwaambie kitu kimoja kuwa, tumefika hapa kwa Sababu enzi hizo nasi tulisoma kama Ninyi, kwa hiyo mnapaswa kuongeza Jitihada kwenye masomo ili nanyi muwe Viongozi Bora kwa Siku zinazokuja"
"Pongezi nyingi zimuendee Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuleta Mapinduzi makubwa kwenye sekta ya Elimu, kwa Sababu Zamani high school zilikuwa Chache, lakini Rais Dkt Samia amefanya mapinduzi kwenye Elimu, ambapo kwa Sasa Kila Mkoa unayo shule ya Mfano ya Wasichana Mchepuo wa Sayansi, hayo ni maono yake na Sisi kama Chama hatuna budi kupongeza na kuunga mkono Jitihada zake" amesema CPA. Makalla.
ποΈ05 Septemba,2024.
π Longido Samia girls Secondary school
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025