Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa viongozi wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) ulioongozwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CPC ambaye pia ni Katibu wa Kamati ya CPC Jimbo la Shanxi, Komredi Tang Dengjie.

alternative

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya H/kuu ya CCM Taifa Mhe. Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa viongozi wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) ulioongozwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CPC ambaye pia ni Katibu wa Kamati ya CPC Jimbo la Shanxi, Komredi Tang Dengjie. Katika kikao hicho kilichofanyika Juni 21, 2024, katika Ofisi ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni, Dar es Salaam, Chama Cha Mapinduzi kiliwakilishwa na Katibu wa NEC, Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndg. Rabia Abdalla Hamid.

Katika mazungumzo hayo, Ndg. Majaliwa alisisitiza kuendelea kudumishwa kwa ushirikiano wa kihistoria kati ya Tanzania na China.

alternative alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi