RAIS SAMIA AMEFANYA KAZI YA VIWANGO VYA JUU, ZAWADI PEKEE NI KUMUOMBEA KWA MUNGU NA KUENDELEA KUMPA DHAMANA YA KUONGOZA TAIFA HILI - BALOZI DKT. NCHIMBI
"Watanzania tunaye kiongozi wa mfano sana anayefanya kazi yake kwa mapenzi makubwa ya watu wake anaowaongoza...wanasemaga nabii hakubaliki kwao lakini niwaambie ndugu zangu kuna nchi ambazo zingempata Rais Samia basi leo hii zingefika mbali sana, kuna baadhi ya nchi viongozi wao wakienda hata msibani nje ya nchi zao wanakwenda na ndege 7 na anakaa huko hata mwezi mzima akila raha tuu lakini sisi tunayae Rais ambaye kila anachokifanya ni kwa maslahi mapana ya watanzania na Taifa kwa ujumla"
"Rais Samia ametunukiwa shahada ya heshima ya udaktari (Honoris Causa) ya uchumi kutoka kwa Mkuu wa chuo cha Ankars kule nchini Uturuki, hii ni sifa kubwa sana kwa taifa letu kwakuwa hata wao wameona kazi kubwa anayoifanya katika Taifa analoliongoza katika masuala ya kuinuka kiuchumi na hili latupasa kujivunia kuwa na Rais Mchapakazi"
Aidha Balozi Dkt.Nchimbi amekumbusha kuwa siasa ya vyama vingi sio ugomvi, "Siasa ya vyama vingi sio ugomvi, tusiache kusalimiana na kupeana moyo sababu sisi sote ni watanzania, tushidane katika hoja na hapo ndipo tutatimiza dhamira ya Rais Samia ya kuwa na maridhiano na umoja , ndio maana Rais Samia alikubali kushiriki mikutano aliyoalikwa na CHADEMA na ACT Wazalendo"
"Anayetetea ugomvi hana dhamira njema kama kuna jambo basi tuzungumze, Baba wa Taifa aliwahi kusema kwa kutoa waraka kwa mabalozi wote, alisema " Jenga hoja, Usiropoke " mkiona watu wanajenga hoja basi kaeni nao, mkiona wanaropoka mara ugomvi mara kuandika ujinga kwenye mitandao watu hao wapuuzieni"
"Mtu anayechochea ugomvi katika jamii hana msaada kwa nchi yetu awe kutoka kwa chama chochote kile cha siasa"
"Tunataka kila kiongozi wa vyama vya siasa na serikali watambue kwamba wana wajibu wa kutambua na kulinda Amani ya nchi yetu"
"Tunaomba wananachi wote tuendelee kuunga mkono Chama Cha Mapinduzi na Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwakuwa ameendelea kufanya kazi kubwa ya kuletea maendeleo kwa watanzania na taifa kwa ujumla"
Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi
Katibu Mkuu wa CCM
Akiuzungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa shule ya msingi Matarawe , Songea mjini Mkoani Ruvuma.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025