Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Naibu Makatibu Wakuu

alternative

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Naibu Makatibu Wakuu kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 13 Juni, 2024. Viongozi hao walioapa ni: Bi. Felister Peter Mdemu kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wanawake na Makundi Maalum (anayeshughulikia Masuala ya Jinsia na Wanawake); Bi. Zuhura Yunus Abdallah kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu.

alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi