Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa, amewasihi wanachama wa chama hicho kujitokeza kwa wingi katika zoezi la kujisajili katika mfumo wa kielektroniki wa kadi za uanachama wa CCM
Kauli hiyo ameitoa katika ziara yake ya kuangalia na kukagua zoezi hilo linalofanyika katika matawi mbalimbali nchini alipotembelea matawi ya CCM ya Wilaya ya Mjini Kichama Unguja.
Alisema usajili huo ni muhimu kwa kila mwanachama anatakiwa kusajiliwa katika mfumo wa kielektroniki wa kadi hizo ili kutambulika katika mfumo huo kwa dhamira ya kupata haki mbalimbali za uanachama.
Dkt.Dimwa, alifafanua kuwa kila mwanachama aliyekuwa na kadi ya zamani ya gamba ambaye bado hajasajiliwa katika mfumo huo anatakiwa kwenda katika tawi lake la Chama cha Mapinduzi kwa ajili ya kujisajili.
“Wito wangu kwa wanachama wote tuendelee kuhamasishana kushiriki zoezi hili la usajili hasa kwa wanachama wote wenye sifa za kutimiza umri ambao wana kadi za zamani na wengine hawana hata hizo kadi waende katika matawi yetu kwa ajili ya usajili huu”, alisema Dkt.Dimwa.
Katika maelezo yake Dkt.Dimwa, aliwasisitiza watendaji wa CCM wanaosimamia zoezi hilo la usajili kuhakikisha kila mwanachama anapata haki hiyo ya kusajiliwa kwa wakati na taarifa zao zinahakikiwa kwa usahihi kabla ya kuingizwa katika mfumo huo.
Pamoja na hayo alisema kuwa CCM inaendeleza malengo yake ya kujiendesha katika mfumo wa sayansi na teknolojia ili kurahisisha masuala mbalimbali ya kiutendaji,kisiasa na kiuchumi yenye maslahi kwa wanachama wote nchini.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025