CCM NDIYO YENYE MKATABA NA WANANCHI KATIKA KUISIMAMIA SERIKALI - BALOZI DKT. NCHIMBI
> Awataka viongozi wa serikali kutambua kuwa CCM ndiyo yenye dhamana ya kuisimamia na kuiendesha serikali
> Atoa pongezi kwa ushirikiano mzuri wa chama na serikali mkoani Mbeya
> Awashukuru na kuwapongeza wananchi wa jimbo la Mbeya mjini kwa kuendelea kuwa na imani na Dkt. Tulia Ackson kwakuwa ameliheshimisha Taifa
Katibu Mkuu wa Chama Chama Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi , amesema chama chochote cha siasa kinapokwenda kwenye uchaguzi ni lazima kipeleke ilani yake kwa wananchi na wananchi wakiikubali na kukichagua maana yake wanakipa dhamana na unakuwa mkataba wa kuiendesha na kuisimamia serikali kuhakikisha ilani ile inatekelezwa.
Balozi Dkt. Nchimbi amesema bahati mbaya kuna wakati mwingine unakuta baadhi ya maeneo kuna viongozi wa serikali wanashindwa kutambua kwamba CCM ndiyo yenye mkataba na wananchi wa kuiendesha serikali hivyo amewataka viongozi kutambua hilo na kuwa ni wana wajibu wa kuitekeleza ilani ya CCM kwa kishindo na kwa wakati.
Kulingana na hilo, Balozi Dkt. Nchimbi ametoa pongezi kwa Uongozi wa CCM na Serikali katika Mkoa wa Mbeya kwakuwa na ushirikiano mzuri hali iliyopelekea kutekelezwa kwa miradi mingi ya maendeleo pamoja na kuwahudumia wananchi ipasavyo.
" Tunapokwenda kwenye uchaguzi, chama chochote cha saisa kinakuwa kinapeleka ilani yake na ndivyo CCM tulivyofanya na wananchi wakatuchagua maana yake CCM ndiyo yenye mkataba wa kuisimamia na kuiendesha serikali...bahati mbaya wakati mwingine unakuta kuna maeneo viongozi wa serikali wanashindwa kutambua kwamba CCM ina mkatana na wananchi wa kuiendesha serikali, hapa Mbeya hongereni sana kwa kutambua hilo kwakuwa mmekuwa na ushirikiano mzuri kati ya Viongozi wa Chama na Serikali "
Pia, Balozi Dkt. Nchimbi ametoa pongezi kwa viongozi wa CCM mkoa wa Mbeya kwa usimamizi madhubuti wa utekelezaji wa ilani kwakuwa maeneo mengi yamevuka hadi asilimia 100%.
Aidha, Balozi Dkt. Nchimbi ametoa zawadi ya Tsh Milioni 2 kwa vijana wa hamasa mkoa wa mbeya kwa kufanya kazi kubwa ya kuendelea kuhamasisha watanzania kukiamini na kukipenda chama cha mapinduzi lakini kwa kuwa na maneno ya vionjo yaliyobeba jumbe zenye kueleza utekelezaji wa ilani.
ποΈ17 Aprili, 2024
πJijini Mbeya
πππ ππππππππππππ ππππππ ππ πππππππππ ππππππππ πππ πππππ ππππππ ππ
ππππ
22-07-2026
πππππ πππππ
πππππ ππππ ππππ ππππππ!
22-07-2026
π ππππππππ ππππππ!
22-07-2026
ZIARA YA RAIS WA MISRI-TANZANIA
22-07-2026
π° CCM NA ACT-WAZALENDO WASAINI MARIDHIANO YA PAMOJA YA KISIASA ZANZIBAR
22-07-2026
π ππππ ππ ππππ ππ ππππππππ, πππ. ππππ-ππππ ππππππ! π°
22-07-2026
π°πππππ ππππππ ππππ ππ πππ ππππ ππππππππ πππππ πππ πππππππππππ πππ ππ πππ ππππ ππ ππππππ
22-07-2026
π°ππππ ππ πππππππππππ ππ ππππ ππππ ππππ!
22-07-2026
ππππ ππ ππππ ππ πππππ; πππππ ππ ππππππππ, πππππππ πππππππ!!!!!
22-07-2026
ππππππ πππππ πππππ ππππππ ππππππππ ππ ππππππππππ
22-07-2026
πππππππ ππππππ πππππππ πππππ ππ πππππππππππ ππππππππ, ππππππ-ππππππ
22-07-2026
πππππππ ππππππ πππππππππ πππππ ππ. ππ πππ
ππ
π, πππππππππ πππππ, πππππ ππ ππππππππππ
22-07-2026
πππππ ππ πππ
ππππ ππ ππ
ππππ ππππππ πππ
πππππ π
ππππ ππ πππππ πππ ππππππ
22-07-2026
ππππππ, ππππ ππππ ππ πππ!
22-07-2026
πππππ: πππ. πππππ ππππππ ππππππ ππ πππππππππππ ππππππ ππ πππππ ππ πππ
22-07-2026
ππππ ππππππ, πππππ ππ πππππππ ππππππ!
22-07-2026
πππππ πππππππ πππ
πππππ; βπππππ
ππππππππππππππβ πππππππ πππππππ ππ πππππππ!
22-07-2026
ππππππ πππ πππππππππππ ππ ππ
πππππ ππ πππππππππ ππ ππππππ ππ ππππππππ: πππππππππ
22-07-2026
πππ ππππππ πππππ ππππππππ ππ ππππππ πππ ππππ ππ ππππππππππ ππππ
22-07-2026
πππππ ππ ππππππ ππ πππππππππ: πππππππππ
22-07-2026