MAKALLA: RAIS SAMIA AMEMUELEKEZA WAZIRI MKUU KUFIKA SOMANGA
- Awatoa hofu wananchi mikoa ya kusini mawasiliano yataendelea kuimarishwa
- Rais Samia ametoa fedha sh Bilioni 100 kujenga madaraja
MTWARA: RAIS Samia Suluhu Hassan amemtaka Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kufika katika daraja la Somanga Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi kesho ili kuhakikisha mawasiliano yanarejea katika barabara ya kutoka Dar es salaam kuelekea mikoa ya Kusini.
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla ameeleza hayo leo Aprili 15,2025 akiwasalimu wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Nanyamba mkoani Mtwara akiwa njiani kuelekea Wilaya ya Tandahimba, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya siku 10 mkoa wa Lindi na Mtwara.
Makalla amewatoa hofu wananchi wanategemea barabara ya kusini na kueleza kuwa serikali chini ya uongozi wa Rais Samia inatambua tatizo hilo lililosababishwa na mvua zinazoendelea na jitihada zinafanyika kuhakikisha mawasiliano yanarejea.
“Niwatoe wasiwasi Mwenyekiti wetu wa Chama Cha Mapinduzi na Rais, Dk Samia Suluhu Hassan asubuhi ya leo amemuelekeza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kesho anatia timu pale ili kuhakikisha mawasiliano ya mikoa ya kusini yanarejea,” amesema Makalla.
Ameongeza kuwa CCM inadhamana kwa wananchi kwa sababu inashughulika na changamoto zao, hivyo jitihada kubwa zinafanyika kuhakikisha wananchi wanaotumia barabara hiyo wanaendelea kupata huduma za usafiri wakati ujenzi wa madaraja ya kudumu ukiendelea.
Aidha, Makalla ameeleza kuwa alipoanza Ziara yake katika mikoa hiyo alipita katika eneo la Somanga na kuikuta Wizara ya Ujenzi pamoja na wakandarasi wakiwa kazini wakiendelea na kazi ya kurudisha mawasiliano na kuendelea kusimamisha nguzo kwa ajili ya kukamilisha daraja.
Ameongeza kuwa mawasiliano yalirejea na barabara hiyo ikawa inapitika lakini bahati mbaya kutokana na mvua zilizonyesha juzi katika maeneo mengine zimesababisha daraja hili kukatika na mawasiliano katika barabara hiyo kupotea kwa masaa kadhaa lakini asubuhi yameanza kurejea na magari yalianza kupita.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
24-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
24-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
24-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
24-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
24-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
24-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
24-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
24-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
24-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
24-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
24-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
24-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
24-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
24-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
24-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
24-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
24-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
24-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
24-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
24-10-2025